Mkuu una uhakika hao uliowataja wanafanya biashara zao kama kina Qnet, GNLD, Forever Living n.k? Labda utakuwa umechanganya online marketing na network marketing, soma vizuri hivyo vitabu vyako
Katika wakuu wa mkoa wanaopiga kazi ni pamoja na huyo mshua, sema tu anamaneno fulani na namna anavyoongea watu wanaona comedy au anatafuta media attention ila kiukweli ndivyo alivyo hivyo sisi watu wa mboka tunamjua kitambo
Sasa mkuu ushafumania msg ya michepuko 3 alafu unakuja kuumia baada ya kukutwa kapakatwa na mchepuko mmojawapo? Huna haja ya kuwachukia wanawake wote utajipa tabu tu, kumbuka maisha yanaendelea soon utatokea kupenda tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.