Natangaza hali ya hatari kwa Konki×3 Master

Natangaza hali ya hatari kwa Konki×3 Master

Ni mambo ya siri sana. Kuna jamaa kitaa ana mke wake na watoto.. familia safi kabisa lakin siku tumekuja ambiwa vitendo vyake nilikataa kata kata maana ni mtu anaheshimika ila kwa siri sana ni michezo yake.
Waliambiwa wakapime kama siyo kweli akafungwe, VP mmejaribu kwenda hospital labda ili tupate pa kuanzia?? Haya mambo ni siri sana hats kama ni ndugu yako, mfano eneo ninaloishi kuna watu wenye hadhi zako ukiambiwa hauwezi kuamini kabisa maana wanafanya mambo haya kwa kificho sana sanaa.!
 
mkuu acha ajitetee mwenyewe mambo mengine huwezi jua inawezekana ni kweli watu wanamfukunyua na huenda KONKI Master kashampitia
 
....Kampime jombaa,sio unamtetea humu kumbe nduğuyo kitamboo timu no beķi...
 
Mimi sio jamaa, ni miss, ila usiamini kila unachokiamini, duniani kuna siri
Kwahiyo we kama ni demu ndio unatokwa na maneno kama hayo kweli? Basi ndio maana mnatusumbua mtaan
 
Nina hasira sana baada ya huyu anaejiita oil chafu kwa kunitajia ndugu yangu wa karibu kabisa, kwenye list yake ya tatu, ina pain sana aisee, sijui nitampataje.
Kitu gani Tena Hilo?
 
Back
Top Bottom