mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,563
Hahaha mkuu kumla mtu kichuri ni kumzibua mtaro bhana! (Nielewavyo mimi na jamii inayonizunguka lakini)Kumbandua
Hahaha mkuu kumla mtu kichuri ni kumzibua mtaro bhana! (Nielewavyo mimi na jamii inayonizunguka lakini)Kumbandua
Hahaha mkuu kumla mtu kichuri ni kumzibua mtaro bhana! (Nielewavyo mimi na jamii inayonizunguka lakini)





we jamaa usintafute ubayaBora mimi nimemshauri awagegede hao mashost wa mke wake hahahahahawe jamaa usintafute ubaya
Ni kweli mkuu! Na ana wivu mkali kuliko maelezo.Ukiwatafuna utapata faida mbili,
1. Watakupa uroda nawe roho yako itasuuzika.
2. Mkeo akijua hatowapikia tena na urafiki utakufa ha ha ha ha.
Watafune mkuu halafu utuletee mrejesho washauri wako.
we nawe hamnazoBora mimi nimemshauri awagegede hao mashost wa mke wake hahahahaha





Uchoyo Huo,hata chakula.We mtu wa wapi?Wakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!
Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri.
Tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.
Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.
Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.
Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs. Bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula.
Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop!
Binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!
Halafu kumbe anatumia hela zakesasa hapo tatizo lipo wapi,! acha uchoyo ndugu
Akiendelee kufanya hivyo ukawashaa Tu ,Unamwambia Ache Mara mojaHiyo sio suruhu hata huko watakakohamia mkewe ataenda kufanya hivyo sababu mkewe ni Mama huruma........hapo tiba anayo mumewe tena wakiwa hapo hapo
HahahaPiga mahesabu kuwa una wake watatu, chakufanya hapo ni kuwagegeda tu hamna namna nyingine.
Hahaha kichuri ni damu ilopikwa ya mnyama inachanganywa na nyongo nak hutumiwa na wakurya sana .. hii humpa mkurya ujasiri unaosikia ule wa musoma hhahaa..Duh! amle kichuri!
Hivi kichuri si ndio ma.vi au mimi ndio sielewi?
Gadeiiim!I smell a man somewhere.....
And We sure love to cook for our men....
.....
Huna nauli ya kwenda kwenye hiyo nyumba au? Au wanakaa mbinguni huyo mkeo aache kuishi kishamba shamba anawaonea haya hao wanawake msaidie kumuondolea hao parasitesWanakaa nyumba tofauti mkuu.