Maisha ya Pierre 'Likwidi'

Maisha ya Pierre 'Likwidi'

sawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
2,752
Reaction score
931
1551866496185.png
 
Jamaa nilimuotea akihojiwa BBC ikibidi nisikilize anasema nini pale mtangazaji aliposema emu jitambulisha kwa vionjo vyako nikasikia ' sei yeeeeeeeeeeh... mamaa nakufa... liquid hatari.. firee.... ndipo nikagundua umaarufu hauna formular
 
Kajamaa upstairs zitakuwa hasi na chanya zimeingiliana, kuna siku anahojiwa akaulizwa umeoa akajibu bado umri ukifika nitaoa. Mtangazaji akamuuliza unaumri gani akasema kama 45 hivi nakumbuka, hapo nika'conclude hayupo sawa.
 
Back
Top Bottom