Recent content by SON2016

  1. SON2016

    Nahitaji camera (canon au nikon)

    Ipo canon D700 kwa 1milion na laki 2. lens+memory+tripod+bag+2battery+charge+external wireless mic.
  2. SON2016

    Je umefeli form 4 na hujui la kufanya?

    Vipi kuhusu gharama za hayo mafunzo?
  3. SON2016

    Sasa nimeamini siwezi kuajiriwa, ushauri wenu tafadhali

    Nakushauri utumie hiyo pesa ya kusomea certificate kuwekeza kwenye mradi wa kilimo,ufugaji,au shuhuli yoyote ambayo unaona ita kupa kipato chakusonga mbele zaidi, kwa sababu ukianza certificate ya afya kumbuka kuna watu wa afya awamu mbili bado hawaja ajiriwa wapo mtaani Tanzania, Je wewe...
  4. SON2016

    Msaada wa mawazo juu ya biashara ya photo studio & photo printing services

    Jipange uje na 1milion na laki tano ni kuuzie canon 700D DSLR +lens+ Memory 32GB+Triple stand+Camera bag. na ushauri wa editing software nakupa pia.
  5. SON2016

    Naishauri serikali ifute mamlaka ya TCRA

    Utaacha kulipa unafikiri gharama za umeme na mafuta zakuendesha mitambo zitapatikana wapi? Kodi pia? wafanyakazi pia? lazima uchangie ili huduma ikufikie.
  6. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Kwahiyo ulicho jibu ndo hitaji la msingi ? unaulizwa hichi una jibu kingine yani hujielewi, kinachokujia kichwani tu unaandika.
  7. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Hitaji la msingi ni lipi?
  8. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Hivi vitoto vya fb toka vifunge shule vinasumbua kweli huku jamii forum wacha shule zifunguliwe tu. wewe kipi unacho juwa?
  9. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Sina muda wakujibizana na wewe.
  10. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Nina maana maalumu nilipo muliza hilo swali. vitu ambavyo havi kuhusu achana navyo.
  11. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Wewe umejuwaje sina msaada?, vitu ambavyo havikuhusu achana navyo.
  12. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Una kasi yakuandika kwenye keyboard na kuhesaba pesa nyingi bilakutumia mashine, kiasi gani una weza hesabu? na kompyuta aina gani kati ya windows na mac unaweza tumia? na kasi yako yakuchapicha kwa kompyupa ipoje?
  13. SON2016

    Muongozo kupata kazi bank

    Unapenda ufanye kazi gani haswa bank?
  14. SON2016

    Msaada: Kwa matokea haya nitamsaidiaje huyu kijana?

    Hapana haiwezi tokea vyuo vikuu bado vina upungufu wa watu, na wanapenda wale walioonzia certificate hapo waendele mpaka degree, ila kwa yule alio anzia certificate semu nyingine diploma sehemu nyingine huwa inakuwa shida kwa baazi, ila na uwakika akianza kwenye chuo chenye vyote kwa pamoja...
Back
Top Bottom