SON2016
Member
- Jan 3, 2016
- 64
- 37
Hitaji la msingi ni lipi?.....teh hee hee hee...,eti vitoto vya fb!
..kifupi,nachojua kujuwa kuhesabu hela kwa mkono wala spidi ya kutype wala aina ya kompyuta hakujawahi kuwa hitaji la msingi kwa mtu kuajiriwa bank!
..unapoanza kumuuliza mtu eti kama anavijua unaonekana kiazi tu zaidi ya sisi 'vitoto vya fb'
..na shule hatufungui sasa,una tatizo?