Habarini wadau, nilipatlngiw kituo na sekretriat ya ajira Feb 2016 ktk halmashaur, baada ya kukamilisha taratibu za kuajiriwa nikaambiwa nirudi nyumbani had nitakapo itwa tena na kuanza kupata mshahara. Baadae nilipowasiliana na Hr alinambia sijapata chek no. Na baadae zoez LA uhakiki...
Habarini wana jamvi, Mimi nilipangiwa kituo cha kazi na sekreteriat ya ajira tangu February mwaka huu, nikaenda kureport nikambiwa nirudi nitapigiwa simu niambiwe lini niende kuanza kazi rasmi. Ukapita mwezi bila kupata taarifa, nilipompigia hr akanieleza kuwa sijapewa check no. Japo...
Habar, mkurugenz wa wilaya ya Nanyumbu ametangaza kuuza viwanja kwa ajili ya makazi, biashara na huduma za kijamii.
Naomba kuuliza nahitajai mita ngapi za mraba kwa ajili ya nyumba ya vyumba vitano na mabanda?
Habari wana Jamii Forum, hongereni kwa hatua ya uchaguzi. Naomba msaada jwa yeyote mwenye ujuzi wa kilimo cha miti.
Mimi ni graduate wa jinsia na maendeleo bado cjapata ajira had sasa nafikirikujiajiar kwenye kilimo cha miti. uwezo wa kupata eneo la kufanyia kazi km hekari 3-4 ninao. Je, ni...
Habari wadau, nahitaji kujuzwa kiukweli.. kuhusu biashara ya mtandao km vile forever living. ni kweli inakuwa na faida ulilinganisha na biashata zingine km kuuza duka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.