C
- Joined
- Jun 3, 2011
- Messages
- 12,383
- Likes
- 4,021
- Points
- 280
- Age
- 59
C
CHUAKACHARA
JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011



Severance pay ni haki anayoipata mfanyakazi mara tu ajira inapokoma. Sifa ya kupata hiyo severance pay ni mpaka uwe umefanya kazi kwa muda wa mwaka au zaidi, na unalipwa si zaidi ya miaka kumi ktk utumishi wako. Kwa mshahala wa siku 7 kwa kila mwaka.