Kubenea amegusia vitu, kama :-
A) ubinafsishwaji wa uda
B) Mkataba wa Richmond
C) N.K
Naomba tujadiliane A~B
Je? Kwa nia thabiti ya taifa hili letu, ni kigezo kipi serikali ilikiona cha kubinafsisha UDA?
Mungu amsaidie, kama ni mtu anaefanya maombi, aendelee na maombi, pengine ni mitihani ya mungu kwa mja wake, Akiingia kwny ushirikini , atamchukiza mungu aendelee kulia na mungu tuu
Kiongozi ni kioo ktk jamii wana jf wenzangu jioneeni tukio hili, muda mwingine tukubali ukweli ndg zangu ndugai kwa status aliyejiwekea hakupaswa kufanya hvyoo nimemshusha thamani kabsaaaa.... Msishangae akipeperusha Bender's ya kongwa, yelewuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.