Oil chafu na Makapi hayo, UDOM Nacho ni chuo.
Yule mwanasiasa na mpigania haki machachari na nguli toka enzi za chuo kikuu udom na aliekua na nafasi za juu katika chama cha chadema, amehamia act-wazalendo rasmi leo muda huu.
Source ni mi mwenyewe na niko nae hapa sasa.
Oil chafu na Makapi hayo, UDOM Nacho ni chuo.
Oil chafu na Makapi hayo, UDOM Nacho ni chuo.
Ulisoma chuo gani?
kumbe banda la mama yako ?
hana akili huyo pamoja na kupambana akiwa chadema badu tu akapata tamaa ya kuingia act.huyu ni hatari kumbeYule mwanasiasa na mpigania haki machachari na nguli toka enzi za chuo kikuu udom na aliekua na nafasi za juu katika chama cha chadema, amehamia act-wazalendo rasmi leo muda huu.
Source ni mi mwenyewe na niko nae hapa sasa.
Oil chafu na Makapi hayo, UDOM Nacho ni chuo.
we hata robo ya akili ya mtu aliyesoma UDOM hufikii.Mwakibinga anajitambua naye yupo huru kama akina EL,Ester,James,ole mede nk.tuheshim demo-clasio
Yule mwanasiasa na mpigania haki machachari na nguli toka enzi za chuo kikuu udom na aliekua na nafasi za juu katika chama cha chadema, amehamia act-wazalendo rasmi leo muda huu.
Source ni mi mwenyewe na niko nae hapa sasa.
Yani akili yote alotoka nayo Udom, bado anaenda kugawa kura za upinzani? Daah, hivi watz tunaelekea wapi?