Hizo Euros 1,272,904 ni kwa ajili ya viti,carpet, na vifaa vya sauti tu. Gharama kamili ni Tsh 4.5 billion. Huwezi kuamini hadi leo kuna viongozi wanafanya vitu kama vile nchi imeshakuwa Somalia. Inawezekaneje mtu mmoja kujiamulia kutumia fedha ya Umma bila kufuata taratibu?
Taarifa za...