Ni bahati mbaya sana siku hizi; unaposema au kuandika jambo kama nifanyavyo sasa, haraka kuna wanaokimbilia kutafuta kabati la kukupachika; CCM, CUF, CHADEMA, dini, kabila na mengineyo. ni kweli kabisa hasa usipoweka ushabiki wako kwa CHADEMA utaonekana wewe CCM na Muislam, ni ujinga usio na msingi