Anahusika kwa lipi tena?
Huo ulikuwa mtego mzee fungua macho kabla hajaita wana habari au hajazikabidhi kwa watoto yatima, ilikuwa aanikwe na kuvishwa pingu! so jaribuni kufikiria! hapo ilikuwa ni kutegua maono yake maana walikuwa wanajua anachosimamia yaani "pokea halafu usipige kura"!angezichukua,angewaita waandishi wa habari na kisha kuzipeleka kituo cha watoto yatima,kuwarudishia hizo pesa wahusika ni kuwajengea mazingira ya kumtafuta mtu mwigine wa kumpa hizo pesa ambazo ni haki yetu,
watu wana pesa mazee, yani mtu anatembea na mill. 10 kirahisi hivyo?? Wanazitoa wapi aisee.
Dr Slaa AKUMBUKE kutamka wazi kuwa anawapenda wana CCM na aendee kuziomba kura zao kama alivyofanya mwanzoni. Hata wana ccm wenyewe wameishamchoka Kikwete. Asisitize kuwa wana CCM wengi wana mapenzi mema na nchi yao, na hata yeye anawapenda. Isipokuwa CCM imekuwa ya mafisadi wachache, ndio wanaofaidi. Wana CCM wengi waliobaki, pamoja na ushabiki hawana wanachokifaidi ndani ya Chama chao. Asisitize kuwa yeye ndiye mkombozi wa wote na hasa wana CCM!
Kauli kama hii yaweza kuvuta hisia na kubadili mawazo ya watu kwa haraka sana. Dr Slaa ukumbuke ulivyomsema vizuri Mwakyembe ulikuwa kivutio, ukabadili hisia za watu na kusababisha wana CCM wote wakukubali. Dr Slaa sasa wasifie wana CCM. Toa kauli nzuri kwamba wewe ni mkombozi wa Wana CCM. Adui mkubwa wa CHADEMA ni mafisadi na sio wana CCM. Tafadhali Dr Slaa usisitize jambo hili.
Maana watu wasio na uelewa wanakatana mapanga wakidhani wewe utakuwa rais wa wana CHADEMA na hivi kuwatelekeza wao.
Jamani nikumbusheni, ni kiongozi gani wa dini aliyewaambia waumini siku chache zilizopita kuwa " Pesa chukueni lakini msiwachague"
Lowassa connection
Kauli za kisaniisanii tu..kama yeye Mokiwa ni mkweli na hana cha kuficha kwanini asiweke vitu hadharani bila chenga?
nakubaliana na wewe, then angewakabidhisha hao watu kwa TAKUKURU...japo hawatafanywa kitu kama tulivyozoea, lakini angekuwa amefanya jambo jema zaidi!angezichukua,angewaita waandishi wa habari na kisha kuzipeleka kituo cha watoto yatima,kuwarudishia hizo pesa wahusika ni kuwajengea mazingira ya kumtafuta mtu mwigine wa kumpa hizo pesa ambazo ni haki yetu,
angezichukua,angewaita waandishi wa habari na kisha kuzipeleka kituo cha watoto yatima,kuwarudishia hizo pesa wahusika ni kuwajengea mazingira ya kumtafuta mtu mwigine wa kumpa hizo pesa ambazo ni haki yetu,