Sio kama nataka kuvunja ndoa yako broo... Hapana ila nadhani Hapo kwenye kubishana kisa jina W na Q kunaelezea fika ya kuwa mume mwenzio na mkeo bado wanawasiliana.
watoto wale wanaandaliwa vizuri,pia washajengewa spirit ya kufaulu.
walimu wao wako strictly ukizingua uko nje ya duara yaani hawacheki na kima.
#watoto wapewe sifa zao bhna, wanajua
Lugha kweli ni tatizo lakini binafsi nalipa uzito wa 30% na hizo 70 zilizobaki ni mfumo wetu ambao unaamini katika uwezo wa kuNAKILI yaani kwakizungu tuite COPY AND PASTE na si uelewa wa mwanafunzi katika masomo.
ole wako uulizwe what is haematology? halafu utoe maelezo yako binafsi jua...
Mkuu kifupi una ROHO NGUMU... kama wawili unaweza hudumia wiki 2 basi hao 4 ungeweza kuwahumia walau wiki 1....
Mengine wangejiongeza wao wenyewe maana hali halisi wanaiona....
Merry X mass cha roho mbaya😊😊...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.