ushauri

ushauri

Sasa kama umempenda mama yake, mtoto utamfukuza? Ujauzito una miezi minne tu kakueleza chanzo cha kutengana na mwenye ujauzito? Vipi kama ujauzito ndio umefanya wapate hali ya kuchukiana na baadae akijifungua hali hiyo ipotee waanze kutafutana?

Je unauhakika gani kuwa ni kweli anakupenda? Vipi kama kakukubalia ili apate mtu wa kumuhudumia kwa kipindi hiki cha ujauzito wake?

Tafakari, chukua hatua, kila la kheri
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoa
 
Mzee baba tafuta mwanamke mwingine mbona wapo wengi tu usije ukaja jutia hapo badae fanya maamuzi magumu sasa
 
Kwa hiyo wewe umeamuaje? Tuanzie hapo
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoa
 
Na kwa nini atoe kiumbe ambacho hakina hatia, kama anaweza kutoa mimba unafikir uyo mtu ana roho gani! Na vp uko mbeleni unafikir atashindwa kweli kukufanyia kitu chochote ambacho kinaweza kukuumiza wewe uyo mwanamke achana nae tafuta mwingine mbona wapo wengi tu
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoa
 
Kumbe mikosi mnaitafuta wenyewe baadae mnasema mmerogwa!

Bwana mdogo, inawezekana ndio mara yako ya kwanza au ya pili kupenda deeply automatically in Love halafu hueleweki unataka ushauri gani kama kumpenda umempenda mwenyewe, akili za kuambiwa changanya na zako.
 
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoa
Bro we lea tuu... mbona mi wangu anamiezi miwili na nshakubalina na hali...
Angalizo tuu hii mambo ni zaidi ya kubeti..
 
Back
Top Bottom