DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,898
Nakushauri tafuta mwanamke mwingine. laiti kama ungekuwa unampenda husingepoteza muda wako kuja kuuliza ulichouliza.i mean nimempenda yule dada aliyebeba mjamzito na si kingine boss
Nakushauri tafuta mwanamke mwingine. laiti kama ungekuwa unampenda husingepoteza muda wako kuja kuuliza ulichouliza.i mean nimempenda yule dada aliyebeba mjamzito na si kingine boss
Unataka kununua shamba lenye mgogoro ?
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoaSasa kama umempenda mama yake, mtoto utamfukuza? Ujauzito una miezi minne tu kakueleza chanzo cha kutengana na mwenye ujauzito? Vipi kama ujauzito ndio umefanya wapate hali ya kuchukiana na baadae akijifungua hali hiyo ipotee waanze kutafutana?
Je unauhakika gani kuwa ni kweli anakupenda? Vipi kama kakukubalia ili apate mtu wa kumuhudumia kwa kipindi hiki cha ujauzito wake?
Tafakari, chukua hatua, kila la kheri
Kuna watu wanapenda sana kununua matatizo aisee. Harafu wanakuja wanalia badae ohh amenmwaga naombeni ushauri tena.Wapi hujaelewa ?
una maanisha ningekaa kimya mkuu?Nakushauri tafuta mwanamke mwingine. laiti kama ungekuwa unampenda husingepoteza muda wako kuja kuuliza ulichouliza.
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoa
Kuwa makini fuata ushauri wa ndugu hapo juu, hayo maneno ya kuachana amekuambia nani ?i mean nimempenda yule dada aliyebeba mjamzito na si kingine boss
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoa
Ungekuwa umechukua maamuzi tayariuna maanisha ningekaa kimya mkuu?
Upuuzi tu unawasumbuaKuna watu wanapenda sana kununua matatizo aisee. Harafu wanakuja wanalia badae ohh amenmwaga naombeni ushauri tena.
😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿Unataka kununua shamba lenye mgogoro ?
😂😂😂😂 daah we ni level zingine when it comes to short answersDogo anaacha maeneo yaliyopewa hati na serikali badala yake anaenda kutafuta eneo lenye mgogoro.
Fanya kunipa hata ka tuzo ka uongo na ukweli mkuudaah we ni level zingine when it comes to short answers



Wewe ni Legend mkuuFanya kunipa hata ka tuzo ka uongo na ukweli mkuu![]()
Bro we lea tuu... mbona mi wangu anamiezi miwili na nshakubalina na hali...yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1 angeitoa