ushauri

ushauri

Umekosa nini mdogo angu!? Au kwasababu amekuambia huduma utajiongeza tu hana shida na hela? Ukaona hapo utajipigia tuuuh
Mind you mwanamke ata awe na hela atakuletea shida tu

Waliozaa hawaachani labda atoe iyo mimba ila tofauti na hapo ndugu unakubali gunia la misumari,na kwanini atoe kisa wewe achana nae au piga sepa
 
Umekosa nini mdogo angu!? Au kwasababu amekuambia huduma utajiongeza tu hana shida na hela? Ukaona hapo utajipigia tuuuh
Mind you mwanamke ata awe na hela atakuletea shida tu

Waliozaa hawaachani labda atoe iyo mimba ila tofauti na hapo ndugu unakubali gunia la misumari,na kwanini atoe kisa wewe achana nae au piga sepa
nashkuru sana kiongoz umejaaliwa hekima
 
nashkuru sana kiongoz umejaaliwa hekima
lqkini pamoja na yote nilimwambia kuwa mm nna matatzo ya mgongo so dokta kaniambia nicfanye kaz nnayofanya kwa miez 6 nipatiwe tiba then ntaendelea na shughulu zangu akakubaliana na hali yangu na kunipa moyo kiongozi na na tangu siku iyo sijamckia akililia shida zaid ya aliniambia anishindikize hospital nkamwambia apumzike tu
 
mimi lengo langu sio kwamba mtt awe wa kwangu hapana
Pale mbuzi anapojipeleka machinjioni akijua anakwenda malishoni.

Maumivu utakayorudi nayo yatakuwa mazito sana siku zijazo.

Hao hawajaachana, huyo me kuna kitu kaogopa tu kwa muda na atarudi muda ukitimia wakati huo sasa nawe utakuwa umeshakolea kwenye penzi zito na ndipo utakapoumia kisawasawa.

Huyo ke bado anampenda sana huyo aliyempa mimba, yawezekana anajua kabisa kwamba akimzalia mtoto atarudi. Sasa kupatikana kwako umekuwa fursa kwake.

Za kuambiwa uchanganye na zako pia.
 
habari zenu humu naombeni ushauri kuna mwanamke nimempenda ila siku namfata kumwambia hisia zangu akanimbia alikuwa na mpenz wameachana ila ni mjamzito na ina miez minne ila anaonesha ananipenda pia na wala hana kuniomba omba hela na swala la huduma aliniambia ni kujiongeza tu mwenyewe na kama nimempenda nimpende yeye kama yeye naombeni ushauri jaman
pole ndug unajua inabid uufunze moyo na hisia zako kukwepa mamabo amabayo yatakuja kutukia mbele..kiufupi anakutaka wewe au anaonesha kukupenda ili kupoza maumivu ya mtu aliyemuacha na wewe anakutumia kama support ya mimba ili ajifungue halafu aendelee na mambo mengine...kwanza wewe huna uhakika kama hampendi mshikaji tena maana mwanamke kufikia hatua ya kukubali kubeba mimba ya mwanaume ni alimpenda na kumthamini na ni rahisi sana ya jamaa kurudi kwa gia ya kusema tuelewane ili tulee mtoto na akarudi kwa msela na akakusahau kabisa...ndug yangu kama unanisikiliza usifanye huo ujinga tafuta wa kwako umtie mimba...mmi mwenyewe kuna mwanamke nimtia mimba na ana msela wake ila hata dakika hii anamaliza kuniambia aminimss ni mplekee mtoto zawadi na unajua nikienda kule kinachotokea ni nini... take it from me bro utanishukuru siku moja
 
lqkini pamoja na yote nilimwambia kuwa mm nna matatzo ya mgongo so dokta kaniambia nicfanye kaz nnayofanya kwa miez 6 nipatiwe tiba then ntaendelea na shughulu zangu akakubaliana na hali yangu na kunipa moyo kiongozi na na tangu siku iyo sijamckia akililia shida zaid ya aliniambia anishindikize hospital nkamwambia apumzike tu
samahani mkuu kama hutojali huyu kwako ni mwanamke wa ngapi?
 
Jamaa boya wewe unataka ushauri gani sasa?wewe umekuta shamba lina mazao machanga alafu unauziwa shamba?mwenye mazao yake akija huoni huo ni mgogoro tayari?
 
pole ndug unajua inabid uufunze moyo na hisia zako kukwepa mamabo amabayo yatakuja kutukia mbele..kiufupi anakutaka wewe au anaonesha kukupenda ili kupoza maumivu ya mtu aliyemuacha na wewe anakutumia kama support ya mimba ili ajifungue halafu aendelee na mambo mengine...kwanza wewe huna uhakika kama hampendi mshikaji tena maana mwanamke kufikia hatua ya kukubali kubeba mimba ya mwanaume ni alimpenda na kumthamini na ni rahisi sana ya jamaa kurudi kwa gia ya kusema tuelewane ili tulee mtoto na akarudi kwa msela na akakusahau kabisa...ndug yangu kama unanisikiliza usifanye huo ujinga tafuta wa kwako umtie mimba...mmi mwenyewe kuna mwanamke nimtia mimba na ana msela wake ila hata dakika hii anamaliza kuniambia aminimss ni mplekee mtoto zawadi na unajua nikienda kule kinachotokea ni nini... take it from me bro utanishukuru siku moja
dah kaka umeniamsha usingizin
 
habari zenu humu naombeni ushauri kuna mwanamke nimempenda ila siku namfata kumwambia hisia zangu akanimbia alikuwa na mpenz wameachana ila ni mjamzito na ina miez minne ila anaonesha ananipenda pia na wala hana kuniomba omba hela na swala la huduma aliniambia ni kujiongeza tu mwenyewe na kama nimempenda nimpende yeye kama yeye naombeni ushauri jaman
Sasa hapa unataka ushauri gani?,kwamba umgegede au usimgegede?,mie sijakuelewa kabisa
 
Nan kakudangany hap jf panatolewa ushauri wa maswala ya mahusiano?utapata majibu huk magum mpk uanze kuudhuria clinic ya moyo
 
je akishajifungua nikimpa na mimi ya kwangu itakuwa ngoma droo au bado wakuu
 
Vijana sikuhizi sijui tumekuaje we mechi inaanza bila bila unataka uanze 1-0 acha ujinga
 
Back
Top Bottom