Recent content by smh

  1. S

    Roho Inaniuma Sana Kila Nikiona Jengo Linalomilikiwa Na Said Salim Bakhresa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf bana wee acha tu hata kama una stress zitaisha tu na kujikuta unacheka tu .
  2. S

    Huyu ndie yule mwanafunzi aliekatwa panga na mwalim huko Mara wilaya ya Tarime

    Hii itakuwa ni chukii binafsi ,huwezi kutumia panga kwa levo ya mwalimu kwa mtoto mdogo kiasi hiki.hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yake
  3. S

    Wanaume wa kusini wanaotokea mtwara/lindi ni wepesi kuoa ila wepesi kutoa talaka

    Iko hivo coz mahari pia elf 50talaka njenje
  4. S

    Nguvu aliyo nayo Magufuli na kikundi chake awamu hii, ni zao la ujinga wa Mtanzania.

    Nikweli umenena ya moyoni ,ujumbe umepokelewa
  5. S

    Sifa za wanaume weupe

    Je sisi wajaluo na wakurya tukoment wap?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  6. S

    Swali kwa Wanaume

    Na ww mwambie ukikuta sait mirror,hamna ,dashbord imevunjika ,break zote hazpo akueleze nan amezivunja na kwann alikubania kupunguza stress,[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
  7. S

    Wakulima Singida walalamikia bei kiduchu ya alizeti sh 500/= kwa kilo, wabunge wao wanalumbana kuhusu Nyalandu

    Bei ya alizeti ni tsh,680@kg sasa hii tsh 500@kg imetoka wapi.ni kawada tu kwa bei ya mwAnzo
  8. S

    Natafuta kazi ya ukalimani Ikulu

    Hahaha,ng'eng'e hutoa watu jasho jembamba,hasa pale unapoilazimisha haikutaki🤣🤣🤣🤣
  9. S

    Salamu kwa vijana wadogo wenye vipara (ualaza)

    Kwani ni mapungufu ama ugonjwa kuota para under 30s age
  10. S

    Toyota hizi...!

    Pole kwa wafiwa,ila tuzingatie sheria za barabara
  11. S

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Asante barkiwa
  12. S

    Hakuna ajira, Iia Watanzania utasikia wakiitana majina haya! Kwanini?

    [emoji16][emoji16][emoji16]then unatunisha kifua,kweli nimeamini muuza kahawa anatembea na chombo cha moto lakini hana lesen ya udereva[emoji41]
  13. S

    Hakuna ajira, Iia Watanzania utasikia wakiitana majina haya! Kwanini?

    Kwa ww hapo unaitwa jina gani kati ya ulioyataja
Back
Top Bottom