Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Baada ya Rais wetu kuamua kuitangaza lugha yetu ya Kiswahili na kukataa kuongea kiingereza huko Zimbabwe,
Baada ya waandishi wa habari wa Zimbabwe kushindwa kuongea na kutambua kiswahili,
Baada ya viongozi walioambatana na Rais kushindwa kukalimani hotuba yake kwa waandishi wa habari hivyo kupelekea kukosekana kwa mahojiano/maswali kati ya Rais na Waandishi,
Naomba kazi ya kuambatana na Rais katika ziara zake ndani ya nchi zinazozungumza kiingereza ili niwe mkalimani wake. nipo tayari kufanyiwa usaili.
NB. Na ule mdahalo wa kiingereza pale Namibia kwa asilimia kubwa alikuwa anasoma kwenye karatasi. Ningekuwepo angeuendesha kwa kiswahili ili nifanye kazi ya ukalimani.
Baada ya waandishi wa habari wa Zimbabwe kushindwa kuongea na kutambua kiswahili,
Baada ya viongozi walioambatana na Rais kushindwa kukalimani hotuba yake kwa waandishi wa habari hivyo kupelekea kukosekana kwa mahojiano/maswali kati ya Rais na Waandishi,
Naomba kazi ya kuambatana na Rais katika ziara zake ndani ya nchi zinazozungumza kiingereza ili niwe mkalimani wake. nipo tayari kufanyiwa usaili.
NB. Na ule mdahalo wa kiingereza pale Namibia kwa asilimia kubwa alikuwa anasoma kwenye karatasi. Ningekuwepo angeuendesha kwa kiswahili ili nifanye kazi ya ukalimani.