IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Naendelea na research ya mambo ya kijamii.
Wanaume wa kusini wanaotokea mtwara/lindi ni wepesi kuoa ila wepesi kutoa talaka na km wameacha mtoto uwa hawakai nae anabaki kwa mama/bibi.
Utafiti wangu nimeufanyia shule mbali mbali watoto wengi hawakai baba na mama.
Na hii imekuwa km tabia hata km akiishi mwanza ni hivyohivyo.
Wahusika mjirekebishe haipendezi mtoto kumwachia bibi/mama yake mchukue mlele.
Wanaume wa kusini wanaotokea mtwara/lindi ni wepesi kuoa ila wepesi kutoa talaka na km wameacha mtoto uwa hawakai nae anabaki kwa mama/bibi.
Utafiti wangu nimeufanyia shule mbali mbali watoto wengi hawakai baba na mama.
Na hii imekuwa km tabia hata km akiishi mwanza ni hivyohivyo.
Wahusika mjirekebishe haipendezi mtoto kumwachia bibi/mama yake mchukue mlele.