Recent content by smartman

  1. S

    Natafuta IST

    Natafuta gari Toyota IST iliyo katika hali nzuri kuanzia namba C au D bajeti yangu 7m
  2. S

    Mgeni huyu ananitesa

    Fm5 , h
  3. S

    Natafuta Chumba cha kupanga kibaha Kwa wiki moja

    Ha ha ha! Nshasahau maisha ya boarding
  4. S

    Natafuta Chumba cha kupanga kibaha Kwa wiki moja

    Habari wana jamvi! Ninatafuta CHUMBA cha kupanga KWA muda wa wiki moja maeneo ya kibaha kati ya KWA mfipa na maili moja. Gharama za gesti kwangu nimeona zitakua kubwa.Aliye tayar kunisaidia tafadhali ani pm
  5. S

    Ushauri! 3y engine

    Habar wadau! nina toyota hiace super custom, manual ina 3Y carburator engine. inakula sana mafuta 6km/l. nafikiria kufunga injini ya 3y-fe au 3s ambazo ni fuel injected. ushauri please!
  6. S

    Najuta kumfahamu huyu binti

    Jishughulishe na muombe Mungu akuondolee hiyo hali
  7. S

    Natafuta mume

    ucjali mi ndo wako. kama uko tayari nipe contacts. I am serious
  8. S

    Natafuta Mchumba Muislam

    Hi Naitwa Hussein. Natafuta mchumba muislam, Mcha Mungu, umri 23-26, elimu ya chuo, mcheshi, asiye na makuu, asiwe mnene sana. Umri wangu 28, muajiriwa, graduate, mrefu kiasi, si mnene. Aliyetayari tuwasiliane kwa e mail maulidh@ymail.com na niko serious katika hili wala sihitaji msichana kwa...
Back
Top Bottom