TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,195
- 18,224
Ulikatibu vipi mkuu? Basi muelekeze mwenzio tiba yake.
mkuu kanaisha na umri tu
Ulikatibu vipi mkuu? Basi muelekeze mwenzio tiba yake.
This is your private business. Hayatuhusu.
cha kufanya nenda kwa wazaziw ake tangaza nia mpose, kisha oa jumla uwe naye ndani 24/7 hapo kiu yako itakuwa imeisha
Kila la heri
King'asti hebu kidooogo punguza "unoko" mshauri kijana mwenzio
king'ast usiniambie ulisoma mwereni lol! nakumbuka vipofu wa pale walikuwa na akili sana.
mie nilisoma kibo lol!
mkuu kanaisha na umri tu
Kamanda, mbona mie siponi jamani. Moyo unaenda mbio na stopper siioni. Au umri wangu umestuck? Nakonda kwa kummiss mtu niko nae, aaagh! (ole wako urushe madongo!):majani7::majani7:, then :A S 100:
achana na huyo mwanamke,utateseka sana kwenye ndoa,risk ya kupenda kwako ni kubwa mno
Mwanamalundi at work! Hahahahaaaaaa!This is your private business. Hayatuhusu.
M.T.O.M.B.E sana,kazana zana kusugua nyuchi ya huyo demu utamzoea na kumwona wa kawaida.
Dogo wewe muhuni sana, unatuweka roho juu nikadhani ngoma kumba mahaba?! Dah! Kwa kuwa unampenda ujiandaye kutendwa pia ili hayo mapenzi yapungue angalau coz najua miaka yote hiyo hakuwa peke yake though inauma lakini poke hiyo, ukilitambua utapunguza mahaba!Habari za majukumu wana jf, kwa mara ya kwanza nimejikuta nikiingia katika jukwaa hili nikiwa muhanga na majeruhi wa kufa leo au kesho kwa sababu ya mapenzi, ni miaka 2 sasa imepita toka nimfahamu huyu binti anayeninyanyasa(tukiwa shule kipindi hicho) na katika kipindi cha mwaka mmoja tuliokuwa pamoja shule tuliishi vizuri ila sii kama wapenz, nilitokea kumpenda sana ila sikuthubutu kumwambia kutokana na kuhofia kuchanganya hali ya mambo japo baadaye aligundua. Na katika kipindi cha mwaka mzima tulipoachana baada ya kumaliza shule tuliendelea kuwasiliana japo kwa mara chache ila ugonjwa wangu haukuwa umetibika bado kwan kila nilipoisikia sauti yake mapigo ya moyo wangu yaliongeza kasi lakin pia sikumwambia kuwa nampenda. Zahama ilianza baada ya kumwambia ukweli kuwa nampenda mwezi 1 uliopita, alinikubalia na akaniambia hilo alilitambua toka mwanzo, cha ajabu kwangu imekuwa mateso kwan ninapoongea naye kwenye simu najisikia burudani sana ila simu iki katika tu na aman nayo inatoweka kwangu na hakuna ninachoweza kufanya kikawa sawa hata kula inakuwa shida, namuwaza yeye tuu. Natamani kusitisha uhusiano ila nafsi yangu inanambia ni afadhali mimi nife kuliko kusitisha uhusiano, nashindwa kuelewa kuwa nampenda au namtaman. Wanajamvi plz, ushauri wenu ni muhimu sana kwangu kwan najihisi kupungua uzito kwa kuwaza. Ahsanten
Mi naona ni mijemko na ugeni wa gemu tuu...ila ukilizoea gemu linavyokwenda atakuwa akikupigia simu sometimes unaminya ka-button ka "silence"
This is your private business. Hayatuhusu.