Recent content by skipper dx

  1. skipper dx

    Apple: Wazee wa kushtaki wenzao wapatikana na hatia ya kucopy na kupaste

    Kama unasema akili ya technologia muulize samsung. Hujui kwamba iphone battery, screen na processor zinatengenezwa na Samsung! Camera ya iphone ni ya sony. Na makorokoro mengine ni kampuni nyingine, chao ni software tu. Wanaassemble kwa $250 wanakuuzia kwa $ 800 na mpaka $1400. Wake...
  2. skipper dx

    Sababu kumi za ku-root simu yako

    Na kutoa bloatware yani application ambazo hazina maana. :thumbup: Sent from my GT-I9300
  3. skipper dx

    Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

    Ndio maana sikuhizi mapenzi hakuna. Pesa inanunua mwanamke yoyote kasoro yule anaejitambua. Njaa ndio zinawafanya mseme hivyo na ukweli hao wenye pesa mnaowataka huwa hamuapendi sema tu pesa inawafunika kwa kuwa na material things na kujipa moyo eti ningukuwa na yule nisingeendesha gari. Wewee...
  4. skipper dx

    Top 10 Disadvantages Of Marrying A Beautiful Woman...

    Jamani tusikatae bwana. Kuna wanawake wazuri acha...achana na wowowoo sijui nini....wako sasa ambao yani usiseme...wazuri wa sura, umbo yani full balance diet :D Hao sasa ndio ukioa ujue amri 10 hapo juu zinakusulubu labda uwe na pesa mingi na akuogope kama jini amasivyo... Ila ukweli ni...
  5. skipper dx

    Kuku jogoo kumpanda bata!

    Biologically yai linaweza lisipate vifaranga...joto la kutamia na mda wake ni tafauti kati ya bata na kuku. ;)Sasa kutokana na vyakula vya kuku vya kichina vinaweza badilisha na kupata kifaranga aina ya kubata yani kuku na bata:D Kawaida hii huwa ni noma, yani sijui kuku anafuata wowowo la...
  6. skipper dx

    Nahitaji mchumba humu.....members niozesheni

    Wadada na wakaka wa humu ukioa tu hujue nyaraka zako zitapostiwa humuhumu na kupata shuluisho humuhumu....maisha yatakuwa murua. Hakuna umbea wa saloon ni e.umbea (electronic umbea) tu humu. :p Sent from my GT-I9300
  7. skipper dx

    Viwanja vya ndege

    KIA uko poa labda uwanja wa mwanza ndio ufanyiwe matengenezo huna hadhi ya jiji kabisa. :( Sent from my GT-I9300
  8. skipper dx

    UMEME WAONGEZEKA KWA 135% wananchi wataabika

    Niwapeni husahuri, kama mtu unajiweza basi nunua heater ya maji ya moto ya solar, ac ya solar na umeme inapunguza 30-60% ya umeme na ki windvane cha 600w hapo umeme wa elfu 10 utakutosha kabisa full kiyoyozi na maji ya moto mda wote. Vinginevyo basi ni swala la modification ya mita tu hakuna...
  9. skipper dx

    Chit Chat is dead

    Sasa kazi ni asubuhi masaa 2 tu alafu chai halafu kisoma magezeti na kubomb mtu iliatoe pesa wengine unawapa tarehe ya kesho. Mda unaobakia ni JF tu. Sent from my GT-I9300
  10. skipper dx

    siku hizi wanaume kuvaa suruali za kubana sana,inanichukiza sana

    Sasa umkute na nywele kasuka...mamaaa!! Sent from my GT-I9300
  11. skipper dx

    maoni ya katiba mpya

    Kama hijapata unaathibiwa....inaonekana umekuwa dhaifu hata kudanganya inakushinda...hehehehe Sent from my GT-I9300
  12. skipper dx

    Elimu yetu: Kuuza miili UDOM ni matokeo...

    Aisee hii ni tabia si tu ya udom bali ni vyuo vyote nchini Tanzania na pia ulimwengu mzima. Swala labda wapi wamezidi zaidi. Hali ya uchumi, tamaa ya vitu hasa nguo na nywele huwafanya wa dada kuwa na tabia hizi. Hata sisi wanaume tunachangia sana...tena walee wenye ndoa. Tuko wangapi? Hapa...
Back
Top Bottom