Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Ni domo zege wananikataa, niwalazimishe au?
Si unamuota hata mlokole? lol
Ni domo zege wananikataa, niwalazimishe au?
Si unamuota hata mlokole? lol
Hii ni post ya siku,ina maana mlokole ukimuata hachomoi.....
Ndo ujue kula na kipofu sasa.
We unadhani hizo ndoto zote huwa ni za kweli?
Na kwanini usipate?
jf iwe saccos,mamemba wote tuwe wanahisa,dadadadeki
jf iwe saccos,mamemba wote tuwe wanahisa,dadadadeki
tanzania ibadilishwe jina.
iitwe jina gani....???
Tanzania haiwezi kuitwa Tanganyika vp umepona dada DenaTanganyika
Tanzania haiwezi kuitwa Tanganyika vp umepona dada Dena
hahaha ngoja uamsho wakukute hapa shauriroNimepona kwa kweli my dear............
Wewe acha kuongeza chumvi basi waza........wasije nitoa macho bure
Nchi ya kitu kidogo.
ukiunganisha utapata Nchi ya Wadogoli