Elimu yetu: Kuuza miili UDOM ni matokeo...

Elimu yetu: Kuuza miili UDOM ni matokeo...

Tatzo co serekal wala hela' tatzo wadada wa udom ni warahc af ni washamba kupndukia

hao wajanja na wagumu wanapatikana wapi?i dont want to believe kbosho you are such an ignoramus.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo hili lisitazamwe tu kwa kuangalia mikopo, tanzania wanabahati wanapata mikopo na kukabidhiwa hundi au kuingiziwa kwenye account zao. Nchi nyingine hakuna pesa itakayoingia kwenye account ya mwanafunzi, bali huingizwa kwenye account ya chuo kwa malipo ya malazi na account ya kampuni inayolisha wanafunzi, hivyo mwanafunzi ni kuingia na kujaa tele ndani ya cafeteria na kula chakula tani yake, kisha kulala huko kwenye domitory, kama anapanga basi mpangishaji ndiye atakayelipwa na bodi ya mikopo, naona bongo tambalare sana.

Vyuo na shule mbalimbali Tanzania hawana program za wanachuo kuwa na shughuli mbalimbali baada ya masomo kama program za michezo mbalimbali ikiwemo riadha. Baada ya madarasa wanatakiwa kuingia kwenye mazoezi ya michezo na riadha, wakirudi wako hoi ni kulala tu. Lakini hili la wanachuo ni kitabu tu wakisha choka wanajikuta kuandamwa na mawazo ya kimapenzi na kuishia kupata erection yenye kutaka kutulizwa, hiyo ndiyo nature. Program za michezo zina umuhimu wake kwa afya na maadili ya wanafunzi vinginevyo matokeo ndio hayo sasa. Hata kama wangepata mikopo kwa wakati tatizo hilo halitaisha kama vyuo haviweki mikakati ya program mbalimbali za wanafunzi na wanavyuo baada ya vipindi vya madarasani.

kama wanafanya kwa hamu kama wewe unavyodhani mkuu sidhani kama ni tatizo kubwa kama unavyofikiri,WANAJIUZA ili wapate chochote kitu,sasa sijui mtu anaweza kujiuza kwa ajili ya erection tu.
 
Aisee hii ni tabia si tu ya udom bali ni vyuo vyote nchini Tanzania na pia ulimwengu mzima.

Swala labda wapi wamezidi zaidi.

Hali ya uchumi, tamaa ya vitu hasa nguo na nywele huwafanya wa dada kuwa na tabia hizi.

Hata sisi wanaume tunachangia sana...tena walee wenye ndoa. Tuko wangapi?

Hapa pagumu ila ndio hali halisi tu.
Udom hafadhali, Uganda ndio usiseme!!!

Sent from my GT-I9300
 
Kila binadamu anatumia kiungo kimojawapo cha mwili wake ili kujipatia kipato chake ili aweze kuishi. Wapo wanaotumia akili zao kuuza katika soko na kujiapatia mahitaji yao.

Mfano wahasibu, wahandisi, wanasheria,madaktari orodha ni ndefu. Akili ni kiungo cha mwili kama kiungo kingine chochote. Waliojaliwa akili hawakujaliwa ukahaba. Lakini wapo waliojaliwa vipawa zaidi ya kimoja kama vile wenye jinsia mbili, huamua kutumia kimojawapo. Wapo wanaotumia miguu kucheza mpira au kukimbia au hata kuruka.

Hawa nao wanajipatia ujira utokanao na matumizi ya viungo vya miili yao kama atumiavyo kahaba kiungo chake. Wapo pia wanaotumia sauti zao kuimba na kuburudisha jamii kwa ujira wa kuuza kazi zao za sauti zao. Wapo wapiga mieleka, ngumi nk. Wote hawa tunasema wanatumia vipawa vyao kujiendeleza kwa faida yao.

Katika uchumi wa kiliberali chochote kinauzika na kunulika.Hawa dada zetu makahaba wanatumia viungo vya miili yao kama wanavyotumia watu wengine kuuza na kujipatia ujira. Katika soko kuna kuuza vitu (products)na huduma(service) Huduma ni kama benki, bima, hoteli ngono nk.

Uhuru tulipata mwaka 1961, wacha watu wawe huru kufanya walitakalo maadamu hawavunji sheria. Tabia ya mtu hutembea nayo popote anapoenda. Kama mtu ana tabia ya ukahaba (mjasiriamali wa ukahaba) hawezi kuiacha kwa sababu tu anasoma Chuo kikuu. Ni kama mtu mwingine yeyote anayeweza kuzungukwa na rasilimali nyingi lakini anashindwa kuzibadilisha kuwa vitega uchumi.

An Enterprenuer is the one who sees the opportunity that others don't see

Kwa hiyo umewapa go ahead siyo?. Kwa wanafunzi kujiuza si jambo la kawaida, wapo pale kwa ajili ya kusoma na sivinginevyo. Inaonesha tayari hapo kuna shida. Si jambo la kuunga mkono katika nchi yoyote duniani. Think big
 
Samahani wadau sijaelewa vizuri mambo kadha wa kadha.
Hivi UDOM ni chuo cha vijana wa kike pekee.
Je bodi ya mikopo hufanya upendeleo kuchelewesha mikopo ya wanafunzi wa kike ilhali wale wa kiume inafika kwa wakati?
Je wanafunzi wa kiume wao pia wanajiuza kutoa 0713 ili kujikimu au wanafanyaje!
Yaweza ikawa kusoma chuo kikuu ni sawa na kuvuta bange.
Nisaidieni kupata majibu ili nami nitoe mchango wangu wa maoni.
ndugu yangu naomba kuongelea upande 1 wa bodi ya mikopo, bodi imefanya upuuzi wa hali ya juu mwaka huu, ni hivi; wamechowoa kundi la wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali na kuwanyima mikopo pasipo na sababu ya msingi ni juzi tu wanafunzi zaidi ya 40 kutoka muhasi wamekesha pale bodi wakilalamika kukosa pesa tangu mwaka wa masomo uanze, tatizo naona lipo bodi.
 
Tunajua kweli kwa sasa mikopo imekuwa vigumu kupatikana kwa huu mfumo mpya. Lakini wasichana wawe wavumilivu na waache zile tabia zao za u sister du, yaani waishi maisha simple. Mfano waache ushindani wa kuvaa, wakate nywele, kwani wakimaliza shule hayo yote watayafanya, kwa sasa wazingatie masomo. Sijui wavulalana hapo wanajipatiaje kipato kama wao hawawezi kujiuza
 
It is much wiser to walk away in silence then to speak the negative words in and on your mind. Once you unleash your words from out of your mouth, you cannot retract them, nor prevent them from entering into another set of ears. The process of your perception is already in motion. Use your wisdom to be the lever that gives stability to your humble attitude.
1/10
pull up your socks
 
Samahani wadau sijaelewa vizuri mambo kadha wa kadha.
Hivi UDOM ni chuo cha vijana wa kike pekee.
Je bodi ya mikopo hufanya upendeleo kuchelewesha mikopo ya wanafunzi wa kike ilhali wale wa kiume inafika kwa wakati?
Je wanafunzi wa kiume wao pia wanajiuza kutoa 0713 ili kujikimu au wanafanyaje!
Yaweza ikawa kusoma chuo kikuu ni sawa na kuvuta bange.
Nisaidieni kupata majibu ili nami nitoe mchango wangu wa maoni.
ndugu yangu naomba kuongelea upande 1 wa bodi ya mikopo, bodi imefanya upuuzi wa hali ya juu mwaka huu, ni hivi; wamechowoa kundi la wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali na kuwanyima mikopo pasipo na sababu ya msingi ni juzi tu wanafunzi zaidi ya 40 kutoka muhasi wamekesha pale bodi wakilalamika kukosa pesa tangu mwaka wa masomo uanze, tatizo naona lipo bodi.
 
anhaaa mushi umesahau kila mdada anaeishi dom hua wanajitambulisha wanasoma udom hata kama hajamaliza std 7?
 
Hizi taarifa zinahitaji kufanyiwa utafiti zaidi ili kujua ukubwa wa tatizo. Offcourse katika mkusanyiko mkubwa kama ilivyo katika vyuo vingine huwezi kukosa watu wenye tabia hizo.

Kuna kasumba ya wadada poa kujipaisha ili kuvutia wateja. Kinachofanyika ni hawa dada poa wa Dom kuwa hadaa wateja wao kuwa ni wanafunzi wa udom. Wateja wao nao bila kufanya kutafakari hujikuta wakiamini hivyo na habari kuendelea kusambaa. Wabongo kwa kuamini umbeya:


Wewe unawakingia kifua watu wanaofanya uchafu kama huu kwa kuwa wewe ni mwanafunzi au graduate wa pale UDOM, HII HAIKUBALIKI HATA KIDOGO. Pamoja na utitiri wa vyuo huu mengi yataibuka, ngoja tusubiri..
 
Kuna hajanya kuuangaa upya mfumo wa mikopo kwa vijana wetu, kama mtu anapewa mkopo wa asilimia 40 , anatakiwa kujilipia pango , kula , ada , mafunzo kwa vitendonk.nk........suluhisho sio kujiuza ila tupunguze ugumu wa maisha vyuoni hali ni mbaya sana , wa kiume nao wanatakiwa kufanya nini.!
 
ndugu yangu naomba kuongelea upande 1 wa bodi ya mikopo, bodi imefanya upuuzi wa hali ya juu mwaka huu, ni hivi; wamechowoa kundi la wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali na kuwanyima mikopo pasipo na sababu ya msingi ni juzi tu wanafunzi zaidi ya 40 kutoka muhasi wamekesha pale bodi wakilalamika kukosa pesa tangu mwaka wa masomo uanze, tatizo naona lipo bodi.
Tuambie je wanachuo wa kiume wao hawaathiriki na bodi ya mikopo. Tuelezeni wao wanafanyaje, mbinu wanayoitumia yaweza ikawasaidia dada zetu. Au wa kiume nao wanajiuza?
 
Kila binadamu anatumia kiungo kimojawapo cha mwili wake ili kujipatia kipato chake ili aweze kuishi. Wapo wanaotumia akili zao kuuza katika soko na kujiapatia mahitaji yao.

Mfano wahasibu, wahandisi, wanasheria,madaktari orodha ni ndefu. Akili ni kiungo cha mwili kama kiungo kingine chochote. Waliojaliwa akili hawakujaliwa ukahaba. Lakini wapo waliojaliwa vipawa zaidi ya kimoja kama vile wenye jinsia mbili, huamua kutumia kimojawapo. Wapo wanaotumia miguu kucheza mpira au kukimbia au hata kuruka.

Hawa nao wanajipatia ujira utokanao na matumizi ya viungo vya miili yao kama atumiavyo kahaba kiungo chake. Wapo pia wanaotumia sauti zao kuimba na kuburudisha jamii kwa ujira wa kuuza kazi zao za sauti zao. Wapo wapiga mieleka, ngumi nk. Wote hawa tunasema wanatumia vipawa vyao kujiendeleza kwa faida yao.

Katika uchumi wa kiliberali chochote kinauzika na kunulika.Hawa dada zetu makahaba wanatumia viungo vya miili yao kama wanavyotumia watu wengine kuuza na kujipatia ujira. Katika soko kuna kuuza vitu (products)na huduma(service) Huduma ni kama benki, bima, hoteli ngono nk.

Uhuru tulipata mwaka 1961, wacha watu wawe huru kufanya walitakalo maadamu hawavunji sheria. Tabia ya mtu hutembea nayo popote anapoenda. Kama mtu ana tabia ya ukahaba (mjasiriamali wa ukahaba) hawezi kuiacha kwa sababu tu anasoma Chuo kikuu. Ni kama mtu mwingine yeyote anayeweza kuzungukwa na rasilimali nyingi lakini anashindwa kuzibadilisha kuwa vitega uchumi.

An Enterprenuer is the one who sees the opportunity that others don't see

nakubaliana na wewe hasa inapokuwa 'out of will' kwa kuchagua, ndiyo kila mmoja anatumia chake lakini kwa hawa hapana:waliamua kutumia akili lakini serikali na bodi ya mikopo zinawafanya watumie 'uchi' bila kupenda. Lazima tuichukie CCM kwavitendo na tuikatae hata kwa kura 2015.
 
Kila binadamu anatumia kiungo kimojawapo cha mwili wake ili kujipatia kipato chake ili aweze kuishi. Wapo wanaotumia akili zao kuuza katika soko na kujiapatia mahitaji yao.

Mfano wahasibu, wahandisi, wanasheria,madaktari orodha ni ndefu. Akili ni kiungo cha mwili kama kiungo kingine chochote. Waliojaliwa akili hawakujaliwa ukahaba. Lakini wapo waliojaliwa vipawa zaidi ya kimoja kama vile wenye jinsia mbili, huamua kutumia kimojawapo. Wapo wanaotumia miguu kucheza mpira au kukimbia au hata kuruka.

Hawa nao wanajipatia ujira utokanao na matumizi ya viungo vya miili yao kama atumiavyo kahaba kiungo chake. Wapo pia wanaotumia sauti zao kuimba na kuburudisha jamii kwa ujira wa kuuza kazi zao za sauti zao. Wapo wapiga mieleka, ngumi nk. Wote hawa tunasema wanatumia vipawa vyao kujiendeleza kwa faida yao.

Katika uchumi wa kiliberali chochote kinauzika na kunulika.Hawa dada zetu makahaba wanatumia viungo vya miili yao kama wanavyotumia watu wengine kuuza na kujipatia ujira. Katika soko kuna kuuza vitu (products)na huduma(service) Huduma ni kama benki, bima, hoteli ngono nk.

Uhuru tulipata mwaka 1961, wacha watu wawe huru kufanya walitakalo maadamu hawavunji sheria. Tabia ya mtu hutembea nayo popote anapoenda. Kama mtu ana tabia ya ukahaba (mjasiriamali wa ukahaba) hawezi kuiacha kwa sababu tu anasoma Chuo kikuu. Ni kama mtu mwingine yeyote anayeweza kuzungukwa na rasilimali nyingi lakini anashindwa kuzibadilisha kuwa vitega uchumi.

An Enterprenuer is the one who sees the opportunity that others don't see


Hivi mnunuzi wa miili hiyo ni mkenya au mtanzania?
 
tatizo lingine ni kuwa hicho chuo ni kikubwa sana. Nasikia toka faculty/school moja hadi nyingine unapanda daladala. Kwa serikali kushindwa kumudu kuhudumia idadi hiyo ya wanafunzi ambao wanafikia elfu 40 ni maandalizi ya janga la kitaaluma. Ni bora kuwa na idadi ndogo kama ya udsm na ukaweza kuihudumia ipasavyo, au kuwa na vyuo tofauti nchini vyenye idadi ambayo ni muafaka kuihudumia. Hivi leo likitokea janga kutokana na serikali kushindwa kumudu mahitaji ya wanafunzi itakuwaje?
 
Sasa kuingia na kutoka chuoni ndo kunaweza kuprove kuwa wanatoka kujiuza chuo. Pale wanafunzi wengi wanakaa mtaani, sasa akiwa na discusion hadi late night akitoka kurudi kwake anajiuza etc.

Mimi Dodoma nimekaa sana. Zamani vibinti vilijidai wanafunzi wa cbe, Sasa UDOM.

Ninachopinga ni jinsi mnavyotaka watu waamini kwamba hali pale UDOM ni mbaya kupondukia

mkuu mtoa mada ni graduate wa Udom na alikuwa waziri wa mikopo! Anakiri we unakana! Inashangaza
 
ukweli utabaki kuwa ukweli loan board nitatizo na nijanga kwa taifa. inauma sana kuona dada zetu wanajiuza kwa tsh 500 au 1000 kuna maswlai mengu sana yasiyo na majibu kama kweli ni hivyo dada zetu waangalie na utu wao, heshima waliyonayo kama wasomi. Pia kwa upande mwingine serkali ifumue mfumo mzima wa load board nje yahapo tutaendelea kuongeza ukimwi na kuandaa wasomi waliooza wanaosubiri kifo baada ya kuathirika na HIV

kwa hiyo wakijiuza kwa laki moja sawa?
 
Tuache kutetea ujinga jamani,si kweli kuwa kuchelewa kwa mikopo ndio sababu,mi nipo mtwara kwa miaka mingi,nimepata ufahamu wa tatizo hili kupitia wanachuo wa saut,hanasa ndio sababu kubwa ya tatizo hili,huku wanajiuza tena kwa kukulazimisha kabisa.

wanalazimisha? Mmh
 
Nape na Le Mutuz hapa huwaoni wanasubiri ujinga na upuuzi
 
Back
Top Bottom