Msanii wa rnb Rama Dee wakati akihojiwa kwenye kikaangoni eatv, ametoa ushauri kwa Lowassa juu ya uhusikaji wake kwenye siasa,
"Lowasa anapaswa apumzike awaachie watu wafanye Nazi, kwa kawaida wazee wetu wakifika miaka 55 au 60 ni umri wa kupumzika"
Habari wanaJF
Kwa bahati mbaya nimefuta Chanel zote za tanzania kwenye Receiver yangu hivyo sipati tena chanel za hapa nchini, hivyo basi naomba msaada kwa mtu mwenye frequency za ITV, TBC, Chanel Ten, StarTV na pia za kenya kama K24 na KBC anipatie ili niziweke.
Team Wahapahapa mnashida sana, na pengine hujaangalia show kabisa maana usingepata nguvu za kuandika shudu hilo..
Diamond ametisha sana kuanzia kuimba, kucheza, mavazi hadi kuipeperusha bendera yetu...
Acheni kumchukulia poa ShishiTrump, Jlo mwenyewe anauelewa vizuri mziki wake...
"Shimo la wengi, la kuweka takataka" kwa neno moja linaitwa "Jalala". Kwahiyo unaweza kusema Shimo/Shilole na Takataka/Mabaya..
Inahitaji nguvu ya ziada kufika views milioni 2 kwa mwaka mwenye mtandao wa Youtube. Hii ni orodha ya video 16 za wasanii wa Bongo zilizotazamwa zaidi mwaka 2016. Hizi ni zile ambazo zina zaidi ya views milioni 2 peke yake.
1. Diamond f/ Raymond – Salome
Imetoka: Sep 18, 2016
Views: Milioni 11...
Japo simkubali kiivo huyu jamaa, ila baada ya kuona hizo picha za performances namuonea huruma sana hasa wale vilaza wanaojiita ni mashabiki zake kumtaka awe juu ya Dangote...
Kibaya zaidi wanasema ni mashabiki wa kiba ila hawaendi kwenye show wamekaa ndani kufuatilia show ya Diamond ili wapate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.