Kwani nani anayewalipa watukanaji?Imebidi nishangae ,huyo Lowasa yupo kimya kabisa mzee wa watu wala haonekani kwenye media ,sasa kawazuia vipi watu kufanya kazi?
Huyu Ramadee naona anatafuta kiki anajua akimtaja Lowasa watu watamdiscus tofauti angemtaja kipara ngoto
Kutoka kuitwa Fisadi Papa mpaka Mzee Wa watu aka Rais Wa mioyo jamani Kweli PESA MwanaharamuMhhh Lowasa mzee wa watu yupo kimya kabisa but bado ni shiida
Pesa ndio ulimboKutoka kuitwa Fisadi Papa mpaka Mzee Wa watu aka Rais Wa mioyo jamani Kweli PESA Mwanaharamu
Nimeipenda Kipara Ngoto.Imebidi nishangae ,huyo Lowasa yupo kimya kabisa mzee wa watu wala haonekani kwenye media ,sasa kawazuia vipi watu kufanya kazi?
Huyu Ramadee naona anatafuta kiki anajua akimtaja Lowasa watu watamdiscus tofauti angemtaja kipara ngoto
Kwani nani anayewalipa watukanaji?
Hahaaaa watu mna maneno eti kipara ngotoNimeipenda Kipara Ngoto.
Hana nyota, sasa naona anaitafuta kwa nguvuRama D,mmoja ya kipaji adimu kabsa cha RnB Tanzania,,mmoja ya msanii mwenye Melody kali kabsaa,,,anajua kuimba,anajua kuandika ila havumi kabsaaaa daaah sijui kwa nn yan
Anapenda kutukana wakubwa ndio maana hafanikiwi.Alimtukana Ruge japo kwa Lowassa kaongea ukweli.Rama D,mmoja ya kipaji adimu kabsa cha RnB Tanzania,,mmoja ya msanii mwenye Melody kali kabsaa,,,anajua kuimba,anajua kuandika ila havumi kabsaaaa daaah sijui kwa nn yan