Huna haja ya kujaza pc yako na maprogram, fungua link ya video unayotaka kisha baada ya www. Weka ss then link..
Mfano kama link ya video ni
www.dsgjdkkahie.com
Ongeza ss hivi
www.ssdsgjkkahie.com
Itakupeleka kwenye page utakayodownload quality unyotaka iwe audio au video ya hiyo...
Umenipa mwanga mkuu asante sana..
Japo nawaza iwapo aliukana uraia wake wa awali ataruhusiwa kuurejea tena?
Kama ndio, ni mara ngapi anaweza kuruhusiwa kuurejea uraia wake hasa km ni mtanzania ameolewa nje akaukana utz na baadae kutaka kuurudia utz kutokana sababu mbali mbali..
Msaada wa uelewa please
Wana jamvi naomba kufahamu, maana naamini humu kuna wataalam mbali mbali ikiwemo magwiji na wataalam wa sheria....
Swali langu~
Mtanzania mume anapooa mwanamke wa nchi tofauti mathalan mganda, yule mwanamke anapata uraia wa Tanzania..
Je, wanapoachana, either kwa...
Duh System imechange, kwa taarifa zisizo rasmi zile za jana ilikuwa makosa, ila nadhani sasa wametoa japo sijafanikiwa kuingia ni mwendo wa "Loading..." kama nusu saa nzima aisee
Jamani acheni kubishana..fuatilia taarifa zote hapa soon kila kitu kitakuwa hewani...
Mhe. Lowassa ndio the right candidate for 2015-20....nakuendelea
Friends of Lowassa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza RPC Liberatus Ballow ameuwa usiku wa kuamkia leo na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi katika eneo la Kitangiri karibu na Hotel ya Tai Five majira ya kati ya saa saba hadi nane. Haya yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambaye pia ni Mkuu wa...
Msione hatari kukaa bench>>>God has a plan and a reason for all that you are undergoing...Believe me the right time has not yet come...hata sisi tunajiuliza tutaoa lini maana madem wanatupiga bench but iko cku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.