Friends of E. Lowassa

Friends of E. Lowassa

Angalia lugha hapo mkuu, kuna neno lina ukakasi!
BACK TO TOPIC. Itakuwa sio mbaya wanaomkataa EL watupe mbadala kutoka hicho chama.

yaah ..typing error ..nilimaanisha vijembe .
na ni kweli kumkataa wankatae kwa hoja na si kwa mabavu
 
Friend of Lowassa ni Wanyonge wa Taifa hili bila ya kujali Dini zao,Kabila zao,Elimu zao,Kipato chao. Tena kwa Taarifa yenu Zile Tishert wametengeneza Wanyonge wenyewe kwa Mapenzi yao kwa Mpigania haki wao Mh. Edward Ngoyai Lowassa (MB).
 
Wewe ni dereva wa bodaboda nini? Nasikia lowasa ni balozi wenu

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Kwa upande wangu sisemi 100% kuwa EL ndio bora, ila nawauliza wenye kudhani hafai, watupe jina la aliye bora kumzidi yeye. Maana unapomkataa tu bila kutupa alternative haueleweki.
Mpaka sasa kwa upande wangu sioni kama Lowassa ana mpinzani, sisemi ni msafi, kama binadamu ana mapungufu yake, ila kwa vile sioni alomzidi, mpaka sasa he's my choice.
Pamoja na yote aliyobebeshwa whether ni kweli au uongo, ni mchapa kazi, sio muoga, wote tulimuona ufanisi wake katika muda mfupi aliokua waziri mkuu, hakupumzika hata mara moja, mpaka alipojiuzulu. Nani kama yeye...???

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwa upande wangu sisemi 100% kuwa EL ndio bora, ila nawauliza wenye kudhani hafai, watupe jina la aliye bora kumzidi yeye. Maana unapomkataa tu bila kutupa alternative haueleweki.
Mpaka sasa kwa upande wangu sioni kama Lowassa ana mpinzani, sisemi ni msafi, kama binadamu ana mapungufu yake, ila kwa vile sioni alomzidi, mpaka sasa he's my choice.
Pamoja na yote aliyobebeshwa whether ni kweli au uongo, ni mchapa kazi, sio muoga, wote tulimuona ufanisi wake katika muda mfupi aliokua waziri mkuu, hakupumzika hata mara moja, mpaka alipojiuzulu. Nani kama yeye...???

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

naunga hoja yako mkono.@Sal
 
Sisi tulioanza zamani wacha tupumzike kupiga debe. Tupeane zam zam mpaka kieleweke!
 
Friend of Lowassa ni Wanyonge wa Taifa hili bila ya kujali Dini zao,Kabila zao,Elimu zao,Kipato chao. Tena kwa Taarifa yenu Zile Tishert wametengeneza Wanyonge wenyewe kwa Mapenzi yao kwa Mpigania haki wao Mh. Edward Ngoyai Lowassa (MB).

ivi kumbe ...ila lazima kutakua na mkono wake hapo .
 
Aliponiacha hoi Lowasa ni pale anapojaribu kuondoa tatizo La ajira nchini kwa kugawa bodaboda. Mwenzetu huyu sijui alisomea wapi macroeconomics. Niwakuonewa huruma, anadhalilisha taaluma ya uchumi. Mungu epushia mbali balaa hili.
 
Aliponiacha hoi Lowasa ni pale anapojaribu kuondoa tatizo La ajira nchini kwa kugawa bodaboda. Mwenzetu huyu sijui alisomea wapi macroeconomics. Niwakuonewa huruma, anadhalilisha taaluma ya uchumi. Mungu epushia mbali balaa hili.

embu naomba unipatie disadvantages na advantages za bodaboda kwnye uchumi wa TZ ..
 
jambo kubwa linalompa lowasa marafiki wengi na kungwa mkono pamoja na umaarufu wa kisiasa anaopata sasa na kuzidi pia kuumiza vicha vya wanasiasa wengi ikiwamo wa chama chake ccm,ni technique ndogo tu aliiyoitumia. .

Kuna msemo unasema " ili kushinda vita ,lazima umjue adui yako vyema"
lowasa kaangalia ni yapi hasa matatizo ya watanzania walio wengi.

1.watanzania wamekosa viongozi wanokaa karibu nao na kuongea kuhusu matatizo yao moja kwa moja.
2.na pia ni jinsi gani ccm vyama vingine imeashindwa kutatua matatizo ya watanzania .

Lowasa kaamua kujiingiza direct na kujifanya ni kati wa wananchi wenye matatizo bila kubagua wala kujotenga .

Lowasa kawafanya wanasiasa wengeni kuonekana si watendaji bali ni wapenda madaraka na wengine kuonekana wakiwa na ahadi zisizotimizika .

Lowasa kaonekana ni mtu aliyeona shida za wananchi na kuonuesha nia ya kuwasaidia kwa chochote alicho nacho .. Hata kama kuna uchu wa madaraka ndani yake ..lakini amejitahidi kutumia mbinu kushinda maadui zake ..

Leo hii wote wanaomsupport lowassa yaani "friends of e.lowasa" ni kwa ajili ya kijiridhisha na madogo aliyoyafanya.

Kunyamaza kwa lowasa kuna zidi kuwaumiza kichwa wana ccm ..

Wengi tuaasema lowassa anatumia pessa za ufisadi kujisafisha,lakini ni afadhali yeye aliyeona aibu na kidhubuthu kurudisha pessa hiyo kwa njia ya siasa pamoja na kujisafiaha ,kuliko mlio wengi ambao walikula ,wanakula na wataendelea kula peasa na kodi za wananchi maskini na familia zao pasipo hata kurudisha mrejesho wa 10°/ kwa wananchi na mmebaki kua wachafu.

kama uko dar njo escape 1 tuendleze friens of lowasa

wako mkuria aliekokoka
 
Vyama vingine vitatatuaje matatizo ya wananchi wakati havijashika dola wewe mpuuzi?? Kawadanganye bibi zako shamba huko na huyo Lowassa wako aliekupa vijisenti vya kumpigia debe.
 
Fisadi Lowassa na Urais kwa tiketi ya CCM. Yaani hadi raha, Fisadi anayetaka kupeperusha bendera ya Chama chake!!
Kweli Fisadi Lowassa ndiye 'dume la mbegu' la wanaCCM wote 2015.
 
Kwani amekatazwa? muda ukifika atangaze nia .Kila Mtu Ana haki ya kuchaguliwa na kuchagua.na Kama kapoteza Sifa muda ukifika ataachwa.
 
Fisadi Lowassa na Urais kwa tiketi ya CCM. Yaani hadi raha, Fisadi anayetaka kupeperusha bendera ya Chama chake!!
Kweli Fisadi Lowassa ndiye 'dume la mbegu' la wanaCCM wote 2015.

...ninavyojua' ndani ya chama tawala ni LOWASSA tu' ndiye anayeweza kuiondoa Tanzania ICU.

...na hizi tuhuma, "mwenye EL alishaga sema ukweli wake" Lowassa alijieleza NEC kama ifuatavyo:

"Lowassa akisema kama ni suala la kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, alitaka kuuvunja mkataba kati ya kampuni hiyo na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) mapema, lakini Rais Kikwete aliyekuwa nje ya nchi alikataa kufanya hivyo na badala yake alimwambia kuwa anasubiri ushauri wa makatibu wakuu wa wizara.
Alisema aliamua kujiuzulu nafasi zake katika serikali ili kulinda heshima ya serikali na chama chake, lakini anashangazwa na hatua ya wanaCCM wenzake na si wapinzani kuzunguka mikoani kumchafua wakidai kuwa yeye ni fisadi.
Lowassa alimkumbusha Mwenyekiti kuwa kumekuwa na utamaduni wa kupikiana majungu ndani ya chama na kukumbushia tukio la yeye (Kikwete) kuzushiwa mengi na Daud Mwakawago wakati wa harakati za kuusaka urais kabla ya 2005.
¡°Mwenyekiti wewe unakumbuka wakati Mwakawago alipokuja na rundo la tuhuma za hisia, isingekuwa busara za Rais Mkapa (Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa), wewe usingekuwa hapo ulipo,¡± chanzo hicho kilimkariri Lowassa akisema.
Vyanzo hivyo vilisema kuwa Lowassa alisema kuwa kama Mungu akipenda mtu awe Rais atakuwa kama alivyotaka tu.
Habari zaidi za ndani ya kikao hicho zilisema kuwa Lowassa alikwenda mbali zaidi kwa kueleza kuwa kinachomuuma zaidi ni kutukanwa na viongozi wa chama chake kwa miezi saba kwa kuzunguka nchi nzima kwa fedha za chama, bila hata kumpa fursa ya kujitetea.
Alisema alipokutana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Pius Msekwa, jijini Dar es Salaam alimwambia kuwa kuna watu wamenoa mapanga kummaliza kwa sababu ya urais wa mwaka 2015.
Alimtaja wazi Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, kuwa amekuwa akiendesha kampeni za kumchafua na kumdhalilisha, wakati akijua wazi hakuna mahali katika maazimio ya kikao cha NEC cha Aprili, mwaka huu juu ya kujivua gamba kwa baadhi ya viongozi wa CCM majina ya watu yalitajwa.
Baada ya kutoa madukuduku hayo alisimama aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, na kuhoji kuwa iwapo itathibitika kuwa Lowassa pamoja na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, kuwa si mafisadi kama walivyokuwa wanatuhumiwa ni hatua gani zitachukuliwa.
Akijibu swali hilo, Rais Kikwete alisema kuwa watu hao watashughulikiwa."
 
Back
Top Bottom