Mbona povu jingi, we unaonekana ulikuwa mmjawapo mliofanya maamuzi ya kipumbavu kama hamkusoma vile, mwe mnashirikisha wadau badala ya kujiamlia wenyewe.
Kubali kujirekebisha mtu wa Mungu, kwani unapungukiwa na nini. Achana na ubishi usio wa lazima. Hayo mambo aliyoainisha ni kweli tupu,ndivyo mnavyofanya,je? Kwa utashi wako unadhani mambo hayo yanampendeza Mungu?.
Mleta uzi kagonga mlemle! Mnayo nafasi ya kuachana na hayo mambo yaliyoainishwa na mleta mada, muwe authentic ktk kazi ya Mungu. Kwa sasa primary objective yenu ni kupiga hela si kumtangaza Mungu. Mnachukiwa kuliko vibaka ksb mnatumia neno la Mungu kuhalalisha dili la kupiga pesa kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.