mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,521
- 19,885
... kwa mtazamo wako wa kidini uko sahihi ila Mungu hana dini.
Mungu aliumba dunia na vilivyomo akaleta na dini,, ili watu waifate,,
sasa utasemaje hana dini.?
... kwa mtazamo wako wa kidini uko sahihi ila Mungu hana dini.
Hakuna nilipozungumzia habari za Mungu kuabudu bali nimezungumzia kuhusu Mungu kuwa na dini,kwani wewe unayesema hakuna dini ina maana hauabudu?... Mungu anaabudu dini gani?
Hakika MKUU,,Allah awabariki watawala wa Saudia, awahifadhi na awasamehe makosa yao.
Yani wewe unaeishi Namtumbo ni muislam real kuliko msaudia.Mkuu umeuliza maswali 100 sasa sijuwi nikujibu lipi..
Mimi nipo damamm,,,sifuatilii habari za vitabuni.....
Sawa mkuu,,Yani wewe unaeishi Namtumbo ni muislam real kuliko msaudia.
Waafrican mna tabu sana
Nchi zipi middle east ndio zenywe uislamu kuliko saudi arabia??Yanahusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu wa saudia.
Hawana uislam kitu..
Watalazimishaje mambo ya chanjo ambayo bado yamekuwa ni sintomfahamu ktk baadhi ya inchi ..
Kama unaona nakuumiza vaa chupi yako nenda..
Warembo wako wengi..
Aiseeh we jamaa kunywa soda kwanza hapo ulipoJPM akiipata hiyo
" Nimesikia ndugu zangu waislamu mmewekewa masharti kwamba mwaka huu hamuwezi kwenda kuhiji mpk uwe umechanjwa, Hao ndiyo viongozi wetu wa kiroho tulio nao leo yaani wanawazuia watu kutekeleza nguzo yao ya imani kisa ugonjwa, nilikuwa nachombeza na Mufti hapa kwani hatuwezi kujenga hiyo sehemu ya kuhiji kama ile ya Makka kule kisarawe kwa Mh Jafo ili na wao huko waje kuhiji hapa Tanzania kwa watani zangu wazaramo na fedha hizo zipo maana mambo mengine aah basi tu nisiendelee sana maana ni mambo ya imani ila ni mambo ya ajabu, ila wakiendelea kuwazuia leteni pendekezo tutajenga nasema tutajenga"
utachanjwa Nairobi au Addis Ababa wakati unasubiri connection ya kwenda JeddahSerikali ya Saudi Arabia leo imetoa maelekezo kuwa hakuna Muislamu atakaye ruhusiwa kwenda kuhiji kama hajapata chanjo ya Covid19
Source DW Kiswahil leo
Kama ambavyo tumesikia makanisa ya Kikatoliki na Kilitheri yalivyotoa matamko juu ya ugonjwa huu tunasubiri tamko la Mufti Zuberi na kipenzi cha serikali hii Sheikh Alhad
Si uende Iran ukahiji shida iko wapi ?Saudi Arabia ni mke wa USA, yani katika mataifa ya kiislamu ni Iran pekee yake ndio mtetezi wa waislamu dhidi ha makucha ya beberu, wengi wote ni wachumba tu.
Haishangazi kuona Saudi ana toa boko kama hili maana ni kibaraka wa USA.
Sasa kwanini na ninyi mnaenda kuhiji kwa kibaraka/mke wa USA, Kwanini msiende kuhiji kwa mtetezi wenu Irani?Saudi Arabia ni mke wa USA, yani katika mataifa ya kiislamu ni Iran pekee yake ndio mtetezi wa waislamu dhidi ha makucha ya beberu, wengi wote ni wachumba tu.
Haishangazi kuona Saudi ana toa boko kama hili maana ni kibaraka wa USA.
Maswali niliyo uliza hayafiki hata 30 wala 20. Jibu utakalo ona jepesi kwako na uwe na majibu sahihi.Mkuu umeuliza maswali 100 sasa sijuwi nikujibu lipi.
Nani amefatikia habari za vitabuni, na hiki lina nafasi gani hapa? Kuwepo Damamm siyo hoja, hoja ni kujibu maswali na kuandika ukweli kwa hija na elimu.Mimi nipo damamm,,,sifuatilii habari za vitabuni.
Hizi zote si hoja, hija ni weee ujibu maswali niliyo kuuliza kwa uadilifu na insafu. Hizi dibaji hazina nafasi hapa, naona unapoteza kuandika vitu visivyo na maana.Zipo baadhi ya broadcast za magharibi na saudia wenyewe hawawezi kukutangazia hivyo vitu.
Naangalia..
Yemen TV.
Palestine TV.
Nk..
Tuwekee jambo moja au hata mawili ambayo alikuwa anakosoa Kashogi kwa mujibu wa Uislamu.Kashogi alikuwa mkosoaji wa serikali ya kifalme.
Mfano,
Leo saudia kumekuwa na mambo mengi ya kimagharibi.
Ni tofauti kabisa na misingi ya kiislam.
Hui siyo Uislamu na hili linasemwa sana na Wanazuoni wana likemea, na ndiyo maana tunakubali ya kuwa madhaifu yapo, ila nyie mnaandika vitu kwa dhulma na uadui, na kuzua yaani hamuongelei mambo kielimu na uadilifu. Ndiyo maana nahitimisha kwa kusema hakuna nchi inayoizidi Saudia kwa kusimamia sheria za Uislamu, hizo nchi nyingine hayo mambo hakuna ? Sasa kwanini mnalingaisha kwa mambo fulani na mengine mnayaacha?TV zinaonyesha wanawake wanakata mauno,,vitovu nje,,ndy uislam?
Swali la msingi ni je amemkumbatia katika mambo ganina je uislamu unasemaje juu ya hilo?Ukiangalia hata Iran ipo tofauti na saudia sababu msaudia kamkumbatia mmarekani ambaye ndy adui namba moja wa uislam duniani.
Haoa unathibitisha ya kuwa ulichokiandika hao awali huna elimu nacho. Sasa huu unao ufanya wewe ndiyo uhuni.Saudia royal family ni genge la wahuni..
Ni usaliti na utuambie Kashogi alikuwa amekumbatiwa na kina nani na je usulubu ule ndiyo mafunzo ya Uislamu ? Huelewi na wapi na kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza?Hivi kukumbusha mwenendo wa utawala wa ufalme haupo sawa ni usaliti?
Soma katika historia ya Uislamu utaona.Nani kakwambiya kwamba adhabu ya usaliti ni kifo?
Sada hapa unauzungumzia undugu kati ya Muislamu na Shia au ? Hakuna undugu kati ya Uislamu na Ukafiri bali kuna muamala tu wa kuishi kwa mipaka, na udui wa Shia kwa Waislamu ni mkubwa sana, soma Historia ya Mashia na uone waichokifanya kwa Waislamu katika Dola ya Swafawiya. Kila kitu kimeandikwa.Dini inasemaje kuhusu udugu wa kiislam?
--Ni yule ndugu yako ktk imani.
Saudia anafanya miamala na Wamarekani katika mambo ya kimiamala na kibiashara.--Au ni yule wa imani nyingie ,,, anayekuchochea ugombane na ndugu zako.
Huu ujinga mwingine. Jihadi ni ibada ikikidhi masharti na nguzo Jihadi inapiganwa. Miongoni mwa Jihadi zilizo wahi kupigwana ni vita vya Afghanistani ila wapiganaji ndiyo walikuwa na shida, kadhalika vita vya wamogoli karne ya 13 lakini tatizo waislamu walikuwa wanaingia na mahirizi na ucjafu mwingine, wakawa wanashindwa.Dunia ya Leo hakuna vita vya jihad,,
Vilishapiganwa na mtume (S.AW)na maswahaba vikaisha.
Hili huna ushahidi. Unaleta habari za vijiweni.wengi wanagombea matumbo yao ikiweno saudia.
Swali wanao uliwa ni Waislamu au makafiri ? Hili swali mboma hulijibu ? Au wewe ni Shia nini ? Maana naona huna hoja unalalama tu. Mahafuko kaskazini mwa Yemeni yameanza miaka ya 2011,2012,2014, 2015 Saudia wakaanza kuingilia kati, mbona kipindi hicho hote mlikaa kimya ? Waislamu wanauliwa ila alipoingia Saudia kuwatetea Waislamu mnapayuka payuka...?Isitumie mgongo wa kuua watu kwa kisingizio cha usaliti,,
Hili lina uhusiano gani na tunachokijadili hapa ?Soma vizuri history ya mfalme wa sasa wa saudia..
1975 King Faisal mfalme wa kipindi hicho aliuliwa na nephew wake hadharani.,,mpwa akitokea marekani alipokuwa akiishi huko.
Mfalme aliipigwa risasi hadharani,,na kufa.
Tuwekee ushahidi wa haya. Vijana msiwe mnatuletea habari za vijiweni, tena mkiwa hamna ushahidi ndiyo mkae nazo wenyewe huko.Yote ni mipango ya marekani kuweka watu wao.
Waivuruge saudia na uislam.