Recent content by Sir jj

  1. Sir jj

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Kama ulibahatika kushika mashine ya kuandaa vitambulisho vya mpiga kura basi haya majina uliyakuta,Nilijaribu kusearch kila kiungo cha mwili nikakuta ni majina ya watu,tunayoyaita matusi ni majina ya watu pia,viungo vya uzazi navyo watu wanatumia kama majina...
  2. Sir jj

    Napata maumivu upande wa moyo, hizi ni dalili za ugonjwa gani?

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  3. Sir jj

    Napata maumivu upande wa moyo, hizi ni dalili za ugonjwa gani?

    [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] Kuna kitu hapo umekisema kinatutesa wengi sana,hicho cha kuweka limzigo rohoni unakua huna hata uwezo wa kumueleza mtu ndo chanzo kikuu cha tatizo hili maana wengi wanakua na Kitu kinawala ndani kwa ndani. Na...
  4. Sir jj

    Napata maumivu upande wa moyo, hizi ni dalili za ugonjwa gani?

    Stress mara nyingi huleta hili tatizo yawezekana hata mtoa mada kuna kitu kilimkuta cha kumfanya awe na mawazo kila mara na kwa muda mrefu,na ukikaa vibaya unaweza waza hata kujitoa roho tu unajihisi kama dunia imekuangukia na hauna maana tena.
  5. Sir jj

    Kutokwa na sperm uume ukiwa haujasimama

    Comment ya 101. Kuhusu nyeto mi naona ni kila mtu na akili yake na ubongo wake kuna watu wanapiga sana na show zao ni hatari( Acha ujinga usiniulize nimejuaje) Na wanadai bila nyeto haoni raha ya tendo tuko radhi aanzie nyeto ndo aende kupeleka moto na anapeleka haswa miaka nenda rudi no...
  6. Sir jj

    Kutokwa na sperm uume ukiwa haujasimama

    Dogo hapo hakuna Gono wala semen,hii huwatokea wengi sana hasa pale unapokua umesimamisha kwa muda mrefu na ukawa na hisia kali ila ukawa hutaki kupiga bao ama nyeto.Na ulivyosema kua umeacha nyeto naamini unaangalia porn na kutaka kujizuia kumwaga hivyo unaweza fikia hatua kabisa ukasikia bao...
  7. Sir jj

    Mikopo Elimu ya Juu: Hatimaye Value Retention Fee 6% yaondolewa

    Naamini we si muhanga wa hii kitu. Ungekua muhanga usingethubutu kusema ulichosema.
  8. Sir jj

    Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

    Msaada..nahitaji app nzuri ya kufanya casting kati ya simu na Smart tv.
  9. Sir jj

    Hivi mwanamke kuomba gemu ni umalaya au uwazi?

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Ni sawa na wewe tu haoa ulivyotupia huu mkeka usiohusika kwenye uzi wa watu,nawe ni mbongo kabisaaa. Ila umesahau wale wa matangazo kwemye post.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Sir jj

    SEX AND FEELINGS

    Hhaaaaa Hatimae comment yako imepata like after 3hrs...Lugha hii ilotumika ni adhim mno[emoji26][emoji22][emoji54][emoji26][emoji22],but alichokiandika ni kweli kabisaaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Sir jj

    Riwaya za Eric Shigongo

    Sijaona hata mmoja aliyetoa ushahidi wa wizi wa shigongo katika hadithi zake,kama kweli ameiba leteni ushahidi wa huko alikoiba. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Sir jj

    Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

    Huyu nae ni wa kitambo tangu nyimbo za Dully na wengi hawakumtambua kama ni yeye.[emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Sir jj

    Baba Diamond aomba collabo na wanae

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyu ni hatari na huo mnyama mkononi. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Sir jj

    Ningejua mapema nisingesoma advanced secondary education, it is completely a wastage of time and resources

    Kweli kabisa,tena pangekua na kozi za Mambo ya ufundi kama yatolewayo na VETA hata miezi sita tu na hiyo iwe ni katika mfumo wa elimu ya O'level.Ukitoka hapo ndo uchague pa kwenda. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Sir jj

    Ningejua mapema nisingesoma advanced secondary education, it is completely a wastage of time and resources

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hapo mwishoni nimepapenda. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom