Guys...mimi nimefanya kazi na Shigongo kwa miaka minne. Ukisikia kuna watu magenius wa kuandika yule jamaa ni shida sana. Akitaka kuanza hadithi...anachukua kalamu na karatasi na kuanza kuandika...anaiandika kwa vipande kisa anaiandika yote.Vipi kuhusu Eric James Shigongo? Mbona anaandika sana hadithi, je yeye siyo gwiji kuzidi akina Hammie Rajab, Ben Mtobwa na Eddie Ganzel? Kuna watu wanadai kuwa anatafsiri riwaya za watu wengine je ni riwaya zipi?nkwenye ushahidi kuwa anakopi amwage hapa la sivyo JF imtambue kama magwiji wengine wa riwaya za Kiswahili Kama akina Agoro Anduru au John Rutaisingwa au Elvis Musiba
afadhali uwaambie maana watu wakiamua kumuandama doooooh....... na mwenye ushahidi akachukue 1millGuys...mimi nimefanya kazi na Shigongo kwa miaka minne. Ukisikia kuna watu magenius wa kuandika yule jamaa ni shida sana. Akitaka kuanza hadithi...anachukua kalamu na karatasi na kuanza kuandika...anaiandika kwa vipande kisa anaiandika yote.
Kwa miaka yote hiyo...nimeshuhudia akiandika hadithi zaidi ya nane, tena alipokuwa akianza ananiita na kunofundisha jinsi ya kuipangilia na kutengeneza matukio.
Kama ni shahidi...mm nitakuwa namba moja kusema shigongo haibi sehemu...yeye si muangaliaji muvi...yupo bize...atapata muda upi wa kuangalia muvi za kifilipino?
Yeye ni msomaji wa vitabu vya ujasiriamali...sijawahi kumuona akiwa na kitabu cha hadithi...kwenye kikabati kwake ofisini ni vitabu vya ujasiriamali tu...na nilipomuuliza why hana kitabu cha hadithi...alisema muda mchache sana...hawezi kusoma simulizi.
Kwa miaka yangu minne nilimfuatilia sana...sijaona sehemu ameiba...au kama mna ushahidi muweke manake alishawahi kusema mwene ushahidi atapewa milioni moja ila hadi leo hakuna liyeibuka.
Sent using Jamii Forums mobile app