- Thread starter
- #181
Hawa diploma wengi wanaenda kusoma na familia. Fikiria basic ya laki 4 na take home ya laki 3. Ada ya chuo na familia ile sio rahisiMifumo ya nchi yetu iko slow. Sasa kama mtu tayari alikuwa na mshahara mkopo aliuomba wa nini??
Haya kuomba mkopo siyo tatizo: Miaka yote mitatu ya chuo unachukua MKOPO ( ambao retention fee yake imeobdolewa ) +MSHAHARA unaanzaje kulialia eti unabakiwa na pesa ndogo baada ya makato kwanini pesa zote za mshahara na mkopo ulikuwa UNATUPA JALALANI???