Habarini ndugu na jamaa wa humu JF..
Kuna mdogo wangu anaaoma diploma ya ualimu ngazi ya msingi, bahati mbaya au nzuri haishi chuoni(hostel) anatokea nyumbani kwwnda masomoni kila siku siku za masomo. sasa kwa bahati mbaya au nzuri ratiba yao ya masomo imebadilishwa. vipindi vinaanza saa nane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.