Msaada: UDSM vs Makerere vs University of Nairobi

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,784
Wasalaaam,
Hivi kati ya hivi vyuo vikubwa Afrika Mashariki kipi:

  1. kinatoa wanafunzi wazuri wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la Ajira kimataifa?
  2. Kinafanya tafiti nyingi za Kitaalamu zenya manufaa makubwa kwa jamii?
  3. Kina Uhuru Mkubwa wa kielimu (Intellectual Freedom) ambao hufanya vipaji vya wanafunzi na Wahadhiri kuonekana kwa Urahisi?
  4. Kinawapika viongozi wenye kuweza kuenzi historia na tamaduni za Kiafrika?
  5. Kina Mazingira Mazuri yenye kumuwezesha mwanafunzi kusoma vizuri?
Hebu tusaidiane tafadhali......
 
nairobi noma kwenye output... wanazalisha graduates wachache ila very smart output..

makerere wanakimbiza kwenye research... yaani university ina research centre ya kufa mtu ile ya kuvumbua hata kitu

udsm chuo changu ccm ndio mchawi wetu tunashika mkia

Kwenye Research Makerere wanajitahidi sana.
 
Wasalaaam,
Hivi kati ya hivi vyuo vikubwa Afrika Mashariki kipi:

  1. kinatoa wanafunzi wazuri wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la Ajira kimataifa?
  2. Kinafanya tafiti nyingi za Kitaalamu zenya manufaa makubwa kwa jamii?
  3. Kina Uhuru Mkubwa wa kielimu (Intellectual Freedom) ambao hufanya vipaji vya wanafunzi na Wahadhiri kuonekana kwa Urahisi?
  4. Kinawapika viongozi wenye kuweza kuenzi historia na tamaduni za Kiafrika?
  5. Kina Mazingira Mazuri yenye kumuwezesha mwanafunzi kusoma vizuri?
Hebu tusaidiane tafadhali......
Google/ Nenda ESAMI (Arusha), hutojuta; Nipo Maldova nakula maisha (UNDP)
 
Wasalaaam,
Hivi kati ya hivi vyuo vikubwa Afrika Mashariki kipi:

  1. kinatoa wanafunzi wazuri wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la Ajira kimataifa?
  2. Kinafanya tafiti nyingi za Kitaalamu zenya manufaa makubwa kwa jamii?
  3. Kina Uhuru Mkubwa wa kielimu (Intellectual Freedom) ambao hufanya vipaji vya wanafunzi na Wahadhiri kuonekana kwa Urahisi?
  4. Kinawapika viongozi wenye kuweza kuenzi historia na tamaduni za Kiafrika?
  5. Kina Mazingira Mazuri yenye kumuwezesha mwanafunzi kusoma vizuri?
Hebu tusaidiane tafadhali......
Kenya is Kenya
 
Back
Top Bottom