Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
Nimesoma A level ila bado sijui sifa za kuwa mwalimu wa A level
1. Kiwango cha Elimu yao
2. Je wanapatikanaje yani utaratibu wa ajira zao
My take
Walimu wengi wa A level uwezo wao wa kufundisha ni mdogo. Naombeni mnifungue nijue sifa za kuwa mwalimu wa A level
1. Kiwango cha Elimu yao
2. Je wanapatikanaje yani utaratibu wa ajira zao
My take
Walimu wengi wa A level uwezo wao wa kufundisha ni mdogo. Naombeni mnifungue nijue sifa za kuwa mwalimu wa A level