GPA za chuo zinapatikana vipi

Wakuu GPA za chuo zinahesabiwa vipi ?

Yani mfano wanaposema hili somo lina unit ,moja ,mbili ,tatu nk inakuwa kuwaje yani kupata overall GPA?
Pole

Skilza ndugu

A=5points
B+=4points
B=3points
C=2points
D=1point supplementary
E= carry/ repeat course (bashite)

Sasa Fanya hivi mfano una masomo 6 angalia umepataje katika hizo grades kama n A zote bas chukua points znazohusu A jumlisha zote kulingana na masomo as we assumed zpo 6 so its 5*6=30 so ukishapata hyo 30 unagawanya na idadi ya masomo yako ambayo ni hayo 6 utapata 5 hyo 5 ndo GPA

Mfano mwngne labda una course saba na umescode hvi
Somo 1 = A
Somo 2=B+
Somo 3 =B
Somo 4 =C
Somo 5=A
Somo 6=B
Somo 7=A

Unavyoipata GPA yako
Rudi kwenye grades na points zake then ziweke kwa style hii

Points
Somo 1 = A =5
Somo 2=B+=4
Somo 3 =B=3
Somo 4 =C=3
Somo 5=A=5
Somo 6=B=3
Somo 7=A=5
Jumla ya =28points

GPA= jumla ya points gawa kwa idadi ya course
=28/7
=4

Kwahyo kwa design hyo utakua ja GPA ya 4
 
Maswala ya units sijawah kuyaona kama yana uzto kwenye GPA
Somo likiwa na units nyingi manake n core courses zenye units chache n course za mchezo mchezo japo huwa ngumu na mostly huwa za kushare waeza kuta first year wooote mnasoma hyo course haijalishi umespecialize kwenye nn
Mfano DS , CL
 
Maswala ya units sijawah kuyaona kama yana uzto kwenye GPA
Somo likiwa na units nyingi manake n core courses zenye units chache n course za mchezo mchezo japo huwa ngumu na mostly huwa za kushare waeza kuta first year wooote mnasoma hyo course haijalishi umespecialize kwenye nn
Mfano DS , CL
Yani nilivyoona tu CL na DS nimekumbuka mbali saana yamenitesa sana hayo masomo jamani kaah..
 
Pole

Skilza ndugu

A=5points
B+=4points
B=3points
C=2points
D=1point supplementary
E= carry/ repeat course (bashite)

Sasa Fanya hivi mfano una masomo 6 angalia umepataje katika hizo grades kama n A zote bas chukua points znazohusu A jumlisha zote kulingana na masomo as we assumed zpo 6 so its 5*6=30 so ukishapata hyo 30 unagawanya na idadi ya masomo yako ambayo ni hayo 6 utapata 5 hyo 5 ndo GPA

Mfano mwngne labda una course saba na umescode hvi
Somo 1 = A
Somo 2=B+
Somo 3 =B
Somo 4 =C
Somo 5=A
Somo 6=B
Somo 7=A

Unavyoipata GPA yako
Rudi kwenye grades na points zake then ziweke kwa style hii

Points
Somo 1 = A =5
Somo 2=B+=4
Somo 3 =B=3
Somo 4 =C=3
Somo 5=A=5
Somo 6=B=3
Somo 7=A=5
Jumla ya =28points

GPA= jumla ya points gawa kwa idadi ya course
=28/7
=4

Kwahyo kwa design hyo utakua ja GPA ya 4
Mkuu ulivyotafuta wewe sidhani kama hiyo system inatumika mpaka chuo

Hiyo ni system ya O lev au advance lev
Kwa sababu huku idadi ya units zinatofautiana masomo mengine yana unit 1 mengine units 2 au 3
 
Maswala ya units sijawah kuyaona kama yana uzto kwenye GPA
Somo likiwa na units nyingi manake n core courses zenye units chache n course za mchezo mchezo japo huwa ngumu na mostly huwa za kushare waeza kuta first year wooote mnasoma hyo course haijalishi umespecialize kwenye nn
Mfano DS , CL
Hapo mkuu umenifungua akili
 
Wakuu GPA za chuo zinahesabiwa vipi ?

Yani mfano wanaposema hili somo lina unit ,moja ,mbili ,tatu nk inakuwa kuwaje yani kupata overall GPA?
Masomo yametofautiana unit. Mfano masomo yapo 8 kila moja na unit yake, basi unachukua alama uliyoipata Kama ni A inakuwa na 5. Hivyo unit x alama halafu unakuja kugawa Kwa total units za jumla ya masomo. A=5 ,B+=4,B=3,C=2,D=1
sasa somo likiwa na unit 2 na umepata A, Chukua 2x5=10 jingine labda B+
Unit yake 3x4= 12 jingine labda A
Unit yake 3x5= 15 jingine labda A
Unit yake 2x5= 10 jingine labda B+
Unit yake 4x4 = 16 jingine labda C
Unit yake 4x2 = 8 jingine Labda B+
Unit yake 4x4 =16 jingine labda A
Unit yake 2x5 =10
Total units ni =24
Total units and marks=97
Gawa 97/24=4.04(GPA)now hiyo ni semester 1 fanya hivo kwa semester zote. Then jumlisha na utafute average.
 
Masomo yametofautiana unit. Mfano masomo yapo 8 kila moja na unit yake, basi unachukua alama uliyoipata Kama ni A inakuwa na 5. Hivyo unit x alama halafu unakuja kugawa Kwa total units za jumla ya masomo. A=5 ,B+=4,B=3,C=2,D=1
sasa somo likiwa na unit 2 na umepata A, Chukua 2x5=10 jingine labda B+
Unit yake 3x4= 12 jingine labda A
Unit yake 3x5= 15 jingine labda A
Unit yake 2x5= 10 jingine labda B+
Unit yake 4x4 = 16 jingine labda C
Unit yake 4x2 = 8 jingine Labda B+
Unit yake 4x4 =16 jingine labda A
Unit yake 2x5 =10
Total units ni =24
Total units and marks=97
Gawa 97/24=4.04(GPA)now hiyo ni semester 1 fanya hivo kwa semester zote. Then jumlisha na utafute average.
We ndo uko OK!!!
 
Masomo yametofautiana unit. Mfano masomo yapo 8 kila moja na unit yake, basi unachukua alama uliyoipata Kama ni A inakuwa na 5. Hivyo unit x alama halafu unakuja kugawa Kwa total units za jumla ya masomo. A=5 ,B+=4,B=3,C=2,D=1
sasa somo likiwa na unit 2 na umepata A, Chukua 2x5=10 jingine labda B+
Unit yake 3x4= 12 jingine labda A
Unit yake 3x5= 15 jingine labda A
Unit yake 2x5= 10 jingine labda B+
Unit yake 4x4 = 16 jingine labda C
Unit yake 4x2 = 8 jingine Labda B+
Unit yake 4x4 =16 jingine labda A
Unit yake 2x5 =10
Total units ni =24
Total units and marks=97
Gawa 97/24=4.04(GPA)now hiyo ni semester 1 fanya hivo kwa semester zote. Then jumlisha na utafute average.
Jibu lako lipo sahihi zaidi

Nimependa
 
Wakuu GPA za chuo zinahesabiwa vipi ?

Yani mfano wanaposema hili somo lina unit ,moja ,mbili ,tatu nk inakuwa kuwaje yani kupata overall GPA?
Hahaha nimekubamba kumbe nawe uko humu na yeezus ndio jina lao jana umeuliza kwenye group la darasani hukupata jibu umeingia huku. Kiufupi niliogopa kukupa formula maana umekamatwa na najua huwa una pressure. Ila usijali kwenye mtandao wamerekebisha GPA zinaonekana. Jiandae Kufanya supp. Bado wiki 2 tu
 
Masomo yametofautiana unit. Mfano masomo yapo 8 kila moja na unit yake, basi unachukua alama uliyoipata Kama ni A inakuwa na 5. Hivyo unit x alama halafu unakuja kugawa Kwa total units za jumla ya masomo. A=5 ,B+=4,B=3,C=2,D=1
sasa somo likiwa na unit 2 na umepata A, Chukua 2x5=10 jingine labda B+
Unit yake 3x4= 12 jingine labda A
Unit yake 3x5= 15 jingine labda A
Unit yake 2x5= 10 jingine labda B+
Unit yake 4x4 = 16 jingine labda C
Unit yake 4x2 = 8 jingine Labda B+
Unit yake 4x4 =16 jingine labda A
Unit yake 2x5 =10
Total units ni =24
Total units and marks=97
Gawa 97/24=4.04(GPA)now hiyo ni semester 1 fanya hivo kwa semester zote. Then jumlisha na utafute average.
Mkuu uko sawa lakini vyuo kama SUA vina formula tofauti kidogo. Check uzi ufuatao Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA
Hivyo kwa uhakika soma prospectus ya chuo chako.
 
Wakuu GPA za chuo zinahesabiwa vipi ?

Yani mfano wanaposema hili somo lina unit ,moja ,mbili ,tatu nk inakuwa kuwaje yani kupata overall GPA?

Nijuavyo GPA nyingi za Tanzania zinapatika kwa Kungonoka na Kutoa Mtonyo wa maana na huko kuhesabu Kwako ni mbwembwe tu.
 
Kuna Grade Ambazo zinakuwa na point kama ifuatavyo
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
Then kuna Credits ambazo kila Course unakuta ina credit yake.
So kupata GPA unacalculate kama ifuatavyo
GPA=£(Point X Credit)/
£Credit
Note: £- summation
 
Mkuu ulivyotafuta wewe sidhani kama hiyo system inatumika mpaka chuo

Hiyo ni system ya O lev au advance lev
Kwa sababu huku idadi ya units zinatofautiana masomo mengine yana unit 1 mengine units 2 au 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom