Recent content by Simple on looking

  1. Simple on looking

    Six ways men can escape poverty

    hahahahahaaah this truly touched my future
  2. Simple on looking

    nitajuaje kama nafadhiliwa na serikali?

    habari wakuu?. kuna ndugu yangu amechaguliwa moja kwa moja kutoka kidato cha nne kujiunga na masomo ya ngazi ya diploma katika chuo cha TUMBI Tabora. katika ulipaji wa ada kuna wale wa goverment na private sponsored wanalipa tofauti. je nitajuaje kama analipiwa na serikali?. naomba mwenye...
  3. Simple on looking

    Biashara na malipo ya kodi (TRA)

    Shukrani sana mkuu kwa ufafanuzi
  4. Simple on looking

    Natafuta mtu wa kuingia naye ubia wa biashara

    Mdhamini wa nini,,, sijakuelewa. Unahitaji mtaji? Au unahitaji mwekezaji kwny biashara yko.
  5. Simple on looking

    Biashara na malipo ya kodi (TRA)

    Habari zenu Wakuu nataka kuanzisha biashara ila sina elimu yoyote kuhusiana na namna ya ulipaji wa kodi ya mapato. Kwa wenye uelewa naomba kuelimishwa kuhusiana na ulipaji wa kodi ya mapato. Miongoni mwa maswali ninayo jiuliza ni:- 1. Ni biashara gani inayokupasa upate leseni ya biashara na...
  6. Simple on looking

    Huyu ndo mwanaume naemtaka

    Miaka minne unalia tu, una machoziiiiii eeeeh
  7. Simple on looking

    Nani Mkali wa freestyle kwa TANZANIA.? Kuna wa kumzidi CHIDI BENZI.?

    Kuna watu wanachana jmn, watu kma akina Maarifa.
  8. Simple on looking

    PC YANGU HAIWAKI GHAFLA, Ni nini tatzo?.

    Habari za mda huu wakuu. Nina PC aina ya Mecer, ilikua nzima kabisa lakini kwa sasa haiwaki. Nmepeleka kwa mafundi wakanambia maybe INVIDIA ina tatizo lakini hawakufanikiwa kuitengeneza. Je tatzo litakua nini wakuu ?
Back
Top Bottom