Recent content by Simiyu one

  1. S

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    Sidhani kama kweli huyu askari uliyemtaja ndiye mhusika, naangalia silaha aliyoshika mkononi si ya moto, inaitwa pump action risasi zake ni zampira, na hutumiwa na askari wa ffu kwa kutawanya watu, aidha madhara yake ni kujeruhi tu, other wise labda kamahuyu askari alitumia gun nyingine
  2. S

    Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

    Nakumbuka wakati fulani (2010 i think) aliwahi kuongelea swala hilo na yeye mwenyewe akasema anayo kadi ya CCM na akasema hana mpango wa kuirudisha kwa sababu ni mali yake na atabaki nayo kama kumbu kumbu,
  3. S

    Mnyika kinara bungeni

    Tuwekeeni na walioshika nafasi ya mwisho,
  4. S

    Malawi and Tanzania to resolve the border issue over 'Lake Malawi' amicably

    si amri jeshi tu ndugu yangu hebu linganisha hata nguvu yetu ya jeshi ya sasa hivi na wakati ule, hivi leo hii tunao makamanda jasiri kama wa wakati ule akina Mwita KYARO, Jenerali Mayunga wa wakati ule? nahisi hata watanzania wa waakati ule hasa vijana walikuwa wazalaendo sana sio hii bongo...
  5. S

    Tuongee asubuhi Star Tv: Kufungiwa gazeti la MwanaHalisi

    Sina uhakika hata Dotto Bulendu kama anamfaham vzr huyu jamaa otherwise asingemwlika kwenye kipindi chake, angalia anavochafua mjadala na sasa hivi anasema eti amekasilika Moses ni janga la hicho kipindi hata Dotto mwenyewe ameshamgundua
  6. S

    Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

    Mi nimemwelewa nadhani anamaanisha kuwa Joyce Banda alivyofanikiwa kututia hofu mpaka sasa hivi wanaume wazima tunavyoelekea kugwaya kiasi hata cha kushindwa kutoa msimamo wetu juu ya mgogoro wa mpaka wa ziwa nyasa, aibu gani hii mwanaume mzima unapigwa mkwara na kamwanamke unabaki kuchekacheka...
  7. S

    Makamu M/kiti BAVICHA-Taifa atikisa Mbeya..

    Kama miaka yote CCM imekuwa madarakani hapo Mbeya imeshinndwa kuboresha huduma za maji sugu anawezaje kufanya hivyo kwa miaka miwili na nusu? au unatuambia sugu alipochaguliwa ubunge hapo Mbeya alikausha na hayo maji?
  8. S

    Tamko la Chama Cha Walimu(CWT)

    Taarifa zilizotangazwa ni kwamba CWT imekubaliana na uamuzi wa mahakama na kwamba wamekubali kusitisha mgomo na kurejea kazini kama kwaida. Taarifa kamili saa 2.00 jioni source. tbc1
  9. S

    Mwanza: CUF waungana na CCM kwenye uchaguzi wa Meya

    kama CCM na CDM wanawabunge sawa CDM wana mbunge so it's time Kiwia arudi haraka Mwanza akapige kura na ikiwezekana kama wana viti maalum watumie hiyo advantage
  10. S

    Mbunge Salome Mwambu (CCM) mahututi Muhimbili

    iweje singida mashariki wae na viti maalum? definitely itakuwa jimbo
  11. S

    Prof. Muhongo ammaliza rasmi Mhando; Mama Rwakatare naye alipuliwa!

    Nini Mwananchi kitu mwana halisi bwana we subiri j5 hakuna jiwe litabaki!
  12. S

    CWT yasisitiza mgomo upo palepale Jumatatu tar 30/07/2012

    Mbona madai yenu nifedha na kuboreshewa maisha tu, hivi mazingira ya kazi zenu ni conducive kweli? madawati, vyumba vya madarasa, upungufu wa vitabu na vitendea kazi, nyumba za walim ukosefu wa maabara nk si issue kwenu ila mishahara na malimbikizo ya malipo tu? hapo ndipo madaktari walipo wazidi!
Back
Top Bottom