Milipokuwa mwanachama rasmi wa CHADEMA nilichoma moto nguo na vitu vyote ambavyo vilikuwa rangi ya kijani na njano. Sikuhitaji kuvipeleka kwa mjumbe wa shinaKwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.
Slaa rudisha kadi ya watu kama hii habari ina ukweli wowote. Huwezi kame kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.
mbona hata Wassira bado ana ya NCCR hamsemi lini alikabidhi, mmekosa hoja za kuongea ndio mmebaki kuwaza dk kama ni mwanachama wenuKwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.
Kwa tabia za huyo mzee hastahili kuwa na kadi ya CCM. Muuwaji mkubwa huyo.
Bangi bila kula unafikiri mchezo?Kadi ya nini,kwani ccm ni klinik,mbona wasira hakurudisha kadi ya NCCR-mageuzi?
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.