Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Kuna mjadala unaendelea Star Tv juu ya kufungiwa gazeti la MwanaHalisi. Dotto Bulendu anaongoza mjadala na ana wageni watatu. Kuna mmoja anaitwa Moses huyu ameegemea kwenye serikali zaidi akiunga mkono kufungiwa kwa gazeti hilo.Ana munkari sana na anajiita mzoefu wa habari wa miaka 14. Anikazi Kumbemba hakubaliani na kufungiwa huko.
Ninapata wasiwasi kuwa ana maslahi na waliolifungia gazeti.Mlioko huko Mwanza mtuambie huyu ni nani?
Amenichefua kutaka kuikingia kifua serikali isiyotaka kurekebishwa.
Ninapata wasiwasi kuwa ana maslahi na waliolifungia gazeti.Mlioko huko Mwanza mtuambie huyu ni nani?
Amenichefua kutaka kuikingia kifua serikali isiyotaka kurekebishwa.