Mnyika kinara bungeni

Acha wewe. wewe umetafiti nini? Amesema nini kuhusu Ubungo? Jimboni Mnyika ni mtupu mimi nalijua hilo kwa kuwa Mnyika ni Mbunge wangu. Mimi nimewahi kusema hapa Mnyika aitumie Ilani ya CCM kuwakandamiza sijui hataki kuisoma? Sijasikia akiwakumbusha watekeleze ahadi lukuki za barabara za jimboni Ubungo. Akisimamia hilo na barabara zile zikatengenezwa mbona atapeta tu mwaka 2015 lakini kinyume na hapo huenda akausikia Ubunge kwenye Bomba. Nyie mdanganyeni mkidhani mnamsaidia kumbe mnampoteza ati kinara; kinara wakati jimbo lake hali inatisha? wewe umewahi kupita barabara ya Kimara Mwisho kuelekea Kisukuru/segerea? Hali inatisha. Unaijua Bonyokwa wewe, Golani je, unaifahamu Kibangu ama King'ong'o au Kilungule. Utadhani hawakupiga kura hawa.

Najua hana pesa za kuleta maji wala barabara lakini hata kelele na kuwahamasisha watu wake. Mnyika ahamasishe tu barabara zile hazihitaji pesa nyingi na watu wa kule hawana makuu wewe pata grader la manispaa watajaza mafuta lichonge barabara. Awahakikishie watu kwamba atawaletea grader la manispaa waao wajitolee mafuta watu watatoa hela za mafuta na barabara zitachongwa; watu wa huko hawalalilii lami wao wanataka passability tu.


Mbona haya huwa anayafanya, msome hapa: Mh Mnyika: "Michango kwa ajili ya Barabara ya Maziwa-External Mandela, kifusi sasa; lami itafuata" ~ Kulikoni Ughaibuni hizo barabara zingine zote ulizozisema alihamasisha zikatengenezwa, ile ya Bonyokwa na hata ya King'ongo lakini zimewahiribiwa tena na mvua katika miezi ya karibuni. Ni vyema akaja tena akaeleza anakusudia kuchukua hatua gani za ziada.

serayamajimbo
 
bunge la sasa linatisha, watu kama Myika,Zito wanatisha ,wengine waige mfano wao na si kusinzia mjengon!!!!
 
Halafu hana haja ya kuwa king`ang`anizi wa Urais.Time Ikifika kama kusukuma mlevi vile.
 
Kimbunga mbona unakuwa na roho ya kijicho dhidi ya Mnyika?
Mkuu mbona unachekesha walionuna, kwamba temeke iko juu ya ubungo, kwa kitu gani?
Unawezaje kulinganisha utumishi wa Mnyika wa miaka miwili na nusu dhidi ya miaka kumi ya keenja? Kitu gani alichofanya keenja unachoweza kukitaja kama mafanikio dhidi ya mnyika?
Mara moja moja ujitahidi kuficha chuki zako zisizo na msingi wowote. Kazi aliyoifanya Mnyika katika kipindi hiki kifupi hakuna mbunge yeyote wa ccm aliyemfikia.
 
Last edited by a moderator:
Kimbunga mbona unakuwa na roho ya kijicho dhidi ya Mnyika?
Mkuu mbona unachekesha walionuna, kwamba temeke iko juu ya ubungo, kwa kitu gani?
Unawezaje kulinganisha utumishi wa Mnyika wa miaka miwili na nusu dhidi ya miaka kumi ya keenja? Kitu gani alichofanya keenja unachoweza kukitaja kama mafanikio dhidi ya mnyika?
Mara moja moja ujitahidi kuficha chuki zako zisizo na msingi wowote. Kazi aliyoifanya Mnyika katika kipindi hiki kifupi hakuna mbunge yeyote wa ccm aliyemfikia.

Mkuu Maranya
Mnyika hajafikisha hata miaka miwili na nusu.Ametimiza mwaka mmoja na miezi kama kumi tu...
 
Last edited by a moderator:
Ukimuona mbunge hajatimiza alichoahidi....subiri miaka mitano kisha mpige chini,chagua anayeweza...
Mabadiliko huchochea maendeleo...
 
The guy is so consistent hana haraka na si mpenda sifa za kishamba. Niliwahi interact naye mara moja pamoja na kuwa somehow disapointed lakini now have come to learn its gud of him kwani in this way si rahisi kuingia kwenye mitego ya ku mwangusha....Go Mnyika you are man of honour!
 
Back
Top Bottom