YAGHAMBA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 545
- 147
Muulize JK ambaye hapeleki mgawo wa serikali kwenye halmashauri na majimbo hasa yale yanayoongozwana CHADEMABarabara Kilungule vipi?
Muulize JK ambaye hapeleki mgawo wa serikali kwenye halmashauri na majimbo hasa yale yanayoongozwana CHADEMABarabara Kilungule vipi?
Yeye anaongoza kwa discipline mbovu na matusijaman wana pendelea je uyu gwij mbunge we2 mahiri mCHEMBA mwigulu?
Acha wewe. wewe umetafiti nini? Amesema nini kuhusu Ubungo? Jimboni Mnyika ni mtupu mimi nalijua hilo kwa kuwa Mnyika ni Mbunge wangu. Mimi nimewahi kusema hapa Mnyika aitumie Ilani ya CCM kuwakandamiza sijui hataki kuisoma? Sijasikia akiwakumbusha watekeleze ahadi lukuki za barabara za jimboni Ubungo. Akisimamia hilo na barabara zile zikatengenezwa mbona atapeta tu mwaka 2015 lakini kinyume na hapo huenda akausikia Ubunge kwenye Bomba. Nyie mdanganyeni mkidhani mnamsaidia kumbe mnampoteza ati kinara; kinara wakati jimbo lake hali inatisha? wewe umewahi kupita barabara ya Kimara Mwisho kuelekea Kisukuru/segerea? Hali inatisha. Unaijua Bonyokwa wewe, Golani je, unaifahamu Kibangu ama King'ong'o au Kilungule. Utadhani hawakupiga kura hawa.
Najua hana pesa za kuleta maji wala barabara lakini hata kelele na kuwahamasisha watu wake. Mnyika ahamasishe tu barabara zile hazihitaji pesa nyingi na watu wa kule hawana makuu wewe pata grader la manispaa watajaza mafuta lichonge barabara. Awahakikishie watu kwamba atawaletea grader la manispaa waao wajitolee mafuta watu watatoa hela za mafuta na barabara zitachongwa; watu wa huko hawalalilii lami wao wanataka passability tu.
Mkuu naona elimu akhera imekukaa kweli. Hapa tumia elimu DUNIA
Huyo si bado mwanjomwanjo, ndio mwaka mara yake ya kwanza bungeni ana moto, sijui kama atakuwa na nyingine ya kuchaguliwa.
Mbona Kama Lissu ana jumla ya 119 wakati Zitto ana jumla ya 113?
Kimbunga mbona unakuwa na roho ya kijicho dhidi ya Mnyika?
Mkuu mbona unachekesha walionuna, kwamba temeke iko juu ya ubungo, kwa kitu gani?
Unawezaje kulinganisha utumishi wa Mnyika wa miaka miwili na nusu dhidi ya miaka kumi ya keenja? Kitu gani alichofanya keenja unachoweza kukitaja kama mafanikio dhidi ya mnyika?
Mara moja moja ujitahidi kuficha chuki zako zisizo na msingi wowote. Kazi aliyoifanya Mnyika katika kipindi hiki kifupi hakuna mbunge yeyote wa ccm aliyemfikia.
Na Zitto aliwaonya wabakishe maneno....sasa angalia Slaa hana jipya
Nimeipenda sana hiyo,CCM wajue sasa mambo yamebadilika na sasa wajiandae kwa Movement 4 Exchange.
Wewe ulitaka uambiwe nini jipya?
Siamini kama na jadili na kijana!