Huo ndio ukweli, watanzabia tufikie hatua tukubaliane na ukweli,hatuna viongozi makini,tuna kila kitu cha kutufanya tusiwe ombaomba,viongozi wetu wameuza/weka rehani nchi yetu,watanzania tuko kimya,mimi sifahamu kama huu ujumbe unamfikia.Ningepata nafasi ya kumuona, ningemshauri kwa usalama wa...