Kila m2 yupo bize na harakati za kutafuta riziki asilimia kubwa ya watu hasa vijana hawana habari juu ya mkutano huo. kwa ufupi raia wapo ktk mishemishe za kila siku za kusaka mahela
Kila m2 yupo bize na harakati za kutafuta riziki asilimia kubwa ya watu hasa vijana hawana habari juu ya mkutano huo. kwa ufupi raia wapo ktk mishemishe za kila siku za kusaka mahela
Kila m2 yupo bize na harakati za kutafuta riziki asilimia kubwa ya watu hasa vijana hawana habari juu ya mkutano huo. kwa ufupi raia wapo ktk mishemishe za kila siku za kusaka mahela
Kila m2 yupo bize na harakati za kutafuta riziki asilimia kubwa ya watu hasa vijana hawana habari juu ya mkutano huo. kwa ufupi raia wapo ktk mishemishe za kila siku za kusaka mahela
Mamluki kama nyie hamfai humu ndani, @Mr. emmy asubuhi yote hii ulitaka vijana hao wafanye nn... au ulitaka wakapange foleni pale jangwani? naona huyu atakuwa amezoea kuhudhuria mipira.... tuwe tunafikiri kabla ya kuanzisha thread. this is a place for great thinkers..
Kwani mkutano saa ngapi?? Ulitaka saizi asubuhi yoote hii wafanyeje au wafanye nin??