Weraweraaaaaaaa!!Dalili ya mvua ni mawingu. Hakika wananchi wameanza kuelimika,Natamani 2015 umefike hata kesho.Wananchi wamechoka na kejeri za Chama Cha Mafisadi,mara tunajivua gamba,mara posho za wabunge ziongezwe eti maisha Dodoma yamepanda, wakati pale kuna wafanyakazi hawajaongezewa chochote, wananchi wa kawaida wanaishi bila matumaini ya kuamka,inakuwa heri ya jana kuliko leo.
CDM hongera saaaana na kaza kamba, songa mbele mpaka vijiji vyote,2015 ni yetu,Chama kilicho makini ndicho kitaikomboa Tanzania kutoka utumwani
CDM hongera saaaana na kaza kamba, songa mbele mpaka vijiji vyote,2015 ni yetu,Chama kilicho makini ndicho kitaikomboa Tanzania kutoka utumwani