Recent content by shubilla

  1. shubilla

    Airtel wanakata bando za watu huu ni wizi

    Yaan me ndio nadhani wananionea zaidi,kwasababu kuna siku niliweka kifurushi nikapata mb 125,kuingia kusearch kitu fulani kwa dakika 2hiv najikuta nina mb4 kwa kweli nilishangaa jmn..mpka sikuamini nilichokiona maana siku nyingine huwa wananiibia lakini siku hiyo walizidisha
  2. shubilla

    Naomba jibu

    Unashangaa nnnfi hiyooooooooooo
  3. shubilla

    Mmhh uvivu au?

    Mhhh kikwete nomaaaaaaaaaaa sana
  4. shubilla

    Bongo movies...

    Mmmhhh ndio kali balaaaa mie nakufa kwa kicheko
  5. shubilla

    Bongo movies...

    Mmmhhhh jmn mbavu zangu nafaaaaaaaaaaa
  6. shubilla

    Bongo movies...

    Duhh nimecheka sana
  7. shubilla

    Yaliojiri jana na yatakayojiri leo kumuaaga Tata Nelson Rolihlahla Mandela

    Jamani cha kushangaza karibu Station zote Tanzania zinaonyesha ibada ya kitaifa ya mandela lakini CLOUDS wao wapo busy na bongo fleva
  8. shubilla

    Nani yuko macho tupige stori?

    Jamani macho ndio wap?
  9. shubilla

    Kwanini wanawake wengi wazuri na waliosoma na wenye wanazalia nje ya Ndoa( Nyumbani kwa wazazi wao)

    Wanaume wlio wengi wamezoea kudanganyadanganya,sasa akimuona mdada ana elimu yake na kazi nzuri anaogopa kumpa uongo wake na kujihisi inferior kwa mdada huyo matokeo yake wanaume wanawakimbia wadada wa hivi kwasababu tu hawawezi kumburuza watakavyo kama walivyozoea.....wanaenda kuchukua...
  10. shubilla

    Tabia ya umalaya wa rafiki yangu inanikera!!!

    Asante,kuhisi si vibaya
  11. shubilla

    Tabia ya umalaya wa rafiki yangu inanikera!!!

    Asante kwa ushauri wako
  12. shubilla

    Msaada wenu wadau !!!!!!

    Asante ngoja nianze
  13. shubilla

    Msaada wenu wadau !!!!!!

    Asante sana
  14. shubilla

    Tabia ya umalaya wa rafiki yangu inanikera!!!

    Haahhhaa jmani wewe ndio utaweza?
Back
Top Bottom