Yaan me ndio nadhani wananionea zaidi,kwasababu kuna siku niliweka kifurushi nikapata mb 125,kuingia kusearch kitu fulani kwa dakika 2hiv najikuta nina mb4 kwa kweli nilishangaa jmn..mpka sikuamini nilichokiona maana siku nyingine huwa wananiibia lakini siku hiyo walizidisha
Wanaume wlio wengi wamezoea kudanganyadanganya,sasa akimuona mdada ana elimu yake na kazi nzuri anaogopa kumpa uongo wake na kujihisi inferior kwa mdada huyo matokeo yake wanaume wanawakimbia wadada wa hivi kwasababu tu hawawezi kumburuza watakavyo kama walivyozoea.....wanaenda kuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.