Salam zenu wadau.
Kwa wanaoelewa kusoma hichi kipimo. Hapa inaonyesha ni Positive au Negative. kuna mstari wa kufifia upande wa Patient na mwingine unaoonekana upande wa control. Baadhi ya watu wanasema hii inamaanisha Positive wengine wanasema sio.
Hii imetokea katika mji wa Goa nchini India siku chache zilizopita, ambapo kijana mmoja wa kinigeria alichomwa kisu hadi kufa. hali hii imepelekea raia wa Nigeria wote wanaoishi mjini Goa kuandamana kupinga ubaguzi unaonedelea nchini India dhidi ya waafrika na pia kushinikiza vyombo vya dola...
dah!kwanza hongera maana huna haja ya research nenda katangaze ndoa!binti wa kisukume ni mke mwema sikutanii!kwanza kabisa heshima,uchapakazi,usafi,upole,wanajua kulea familia, ni wazuri katika kutatua matatizo wana uvumilivu!na nyingine nyingi ukizitaka zaidi ni pm!
Jamani wanajf nina rafiki yangu anaesoma katika college flan, kanipigia cm siku moja iliyopita anadai kuwa kwa sasa yeye ni binti anayeelekea mwaka wa pili pale chuoni na toka awe hapo ni almost wasichana wote walipata wapenzi isipokua yeye na hata walifikia hatua ya kumbeza na kumcheka kwa...
majina yaliyoko kwenye vyeti ni John David Alex
majina ya kwenye passport ni John Alex Musa.
yani hapa kilichotokea ni hichi, yeye shuleni tangu primary school aliandikishwa kwa majina ambayo mawili ya kwanza yote ni majina yake(John & david) halafu linafuata jina la tatu ambalo ni la...
mi na baadhi ya wenzangu tupo masomoni nje ya nchi, kuna mwenzetu mmoja ana tatizo, ni kwamba jina lililopo kwenye passport yake ni tofauti na majina ya kwenye vyeti vya form 4 & 6. hapa chuoni kafanyiwa usajili kulingana na majina yaliyopo kwenye vyeti vyake, lakni idara ya uhamiaji wamegoma...
naomba kutanguliza samahani maana hili sio jukwaa lake lakin ni dharura...
mi na baadhi ya wenzangu tupo masomoni nje ya nchi, kuna mwenzetu mmoja ana tatizo, ni kwamba jina lililopo kwenye passport yake ni tofauti na majina ya kwenye vyeti vya form 4 & 6. hapa chuoni kafanyiwa usajili...
mi na baadhi ya wenzangu tupo masomoni nje ya nchi, kuna mwenzetu mmoja ana tatizo, ni kwamba jina lililopo kwenye passport yake ni tofauti na majina ya kwenye vyeti vya form 4 & 6. hapa chuoni kafanyiwa usajili kulingana na majina yaliyopo kwenye vyeti vyake, lakni idara ya uhamiaji wamegoma...
we kijana embu mweshim kaka yako, utavunja udugu kisa mapenzi. by the way, inaezekana shemeji yako wala hakutamani ila ni tamaa zako ndo zinazopelekea uone kwamba shemeji yako na yeye anakutaman. Angalia wewe mke wa mtu sumu, atakutafutia watu waku-cameron..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.