mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Jamani mimi niko ndani ya ndoa, ni miaka Tisa sasa na sijawahi ishi na mke wangu, tunakutana wiki mwezi ni mkubwa sana, kwa sababu ya umbali kikazi, wakati mwingine niliwaza kumwachisha kazi akili maono yangu yakakataa, nikajipa moyo kuwa siku moja atahama tuu, yuko karibuni kuhama nianze maisha ya ndoa kwa pamoja na laazizi, wasiwasi wangu najihisi kuzoea maisha kuishi pekeangu, na tafadhali usiseme/usinishauri hivyo, nitazoea, hapana nahisi nitapata tabu kuzoea na kitakachotokea nakiona ni kutafuta sababu tusepeshane, kila mtu achukue lwake, katikati ya ndoa yetu nilikuwa job, kikatokea kituko, wakati nyumban, nikawa kama kawaida yangu, napitia sehemu napata ya kulalia, narejea sikugundua kuwa wife kaja, nikaingia nikaoga nikalala, wakati nikiwa nimeshajilaza, nikahisi tofauti ndani ya chumba changu, ngo haiko kama nilivyoacha asubuh, kumbe mama mwenye nyumba alimwita kwa simu, kwa siri akamdanganya kuwa jamaa anamtu ndani, anaishi nae chukua funguo uangalie akaingia ndani wakawa wameweka nguo nisijue walizitoa wapi, hasa kwa kuwa fungo wanajua niapoiweka na wakati mwingine nawaachia kwa kuwa wao ndio walinzi wa vyumba vyangu kama vi3 mule ndani..
katika maisha yangu ya ulaya pia nilikuwa na vijiguo si unajua ulaya unaweza kuwa na nguo ukija Tz ukivaa mjini utaonekana kituko, kama za kike nyingine huwezi eleweka, nazo alizibeba mke wangu akaziwahisha kwa wakwe zangu, kwa tafsiri ya haraka lile lilikuwa fumanizi, kule kijijini, na naomba nieleweke sikuwa na mwanamke, labda niwe mkweli hata wakati niko mamtoni haja zangu mimi nilikuwa ni punyeto, nikisikia hamu namvuta wife nalikung'uta puli..maisha yakasonga, ili niwe mkweli zaidi nilikuwa alimasurra nimfyatulia risasi binti mmja mkenya wakati niko chuo ulaya, alikuja chumbani kwangu akaganda akajianika uchi nikauwona, nikajikaza; hapa niliogopa ngoma yaani ukimwi..alivyoondoka tu nyumbn, mimi huyo bafuni likakamata aina flani ya dawa ya ndevu kunyolea ukipaka hulainisha kidevu ili usitoke madutu kidevuni, mzee mimi nilikata tube nikaminyia mkononi nikihakikisha mlango umefungwa, wenzetu wanasema tufunge milango sabb za kiusalama, mimi nikachukua fulsa hiyo, mlango ngwe! nikajilaza nikamvuta mamaa, ila siku hiyo alikataa kuja nikamvuta mkenya kwa vile alikuwepo dkk si nyingi na utupu niliuona nikauvuta kichwani nikala mambo.
Hayo ndio maisha yangu hata hapa jijini Ar, sasa nirudi nyumbani wife kaenda kwao na nguo zangu na nyingine mwenyewe hajulikani, kama utakuwa umenielewa utahoji kwa nini pale nilipopangisha walinichomea kesi kwa wife?, ni kwamba mama mwenye nyumba ameolewa na mumewe yupo, mumewe na mimi na baadh ya wanawe tunatoka kila siku asubuhi ispokuw weekend na sikukuu, yule mama siku moja aliniambia Bwana wew kwa nini tusiongee dili? nikahoji lipi, akasema ..''yaani wewe unakaa mwenyewe mkeo hayupo ...'' ..mimi(yaani yeye) baba xy akja akiwa na hamu ananiita tu mama xy njoo huku anamaliza sasa wewe mzee!....'' sasa ile kaa yake nikaelewa somo.. na maneno yake...; nikapotezea na yeye akakubali chenga yangu..ikaisha, lakin kwa tafsr ni kuwa yy anawanae kama wa3 wengine ni wakuja, jumla wadad3 wabichi kabisa titi na beneke nilikuwa nateseka lkn nikawafanya dada zangu kabisa triki yangu hiyo nikaishi nay nawo..
walinipenda niliwapenda kama kaka na dada, so alitaka ama anipe mmja! ama yeye mwenyewe; wanawake bana, wanamambo.. ingawa siku moja nilimkamata mkono mwanae mmj alipokuja kwangu.. akasema nisuburi arejee..na hakurejea tena, yakapita, nikashukuru; Huku kwa mkwe wangu, mada ilikuwa kwamba nilifanya umalaya..na likasoviwa/solve..ila mimi tangu mwaka huo 2000 katikati MWA sijawahi kuongea na mkwe wangu na ninamkwepa..mke wangu tulielewana na anajua nimemsamehe kwa KUWA hata nguo nyingine alikiri alishawahi kuzifua, so hazikuwa za malaya. ILIKUWA NI COOKED!
kwa mkwe ni mkwe na mimi sina tatizo nae ule Ukwe ndo unanifanya hata kuonana nae machoni nimkwepe..
mke wangu amejifungua na mkwe ndo waPo wote kumuona naona kazi? je nitamuona mwanagu kwa njia gani..mahela napeka kwa sna, wife tunaongea kila muda.. MKWE LAZIMA NIONGEE NAE/KUONANA NI LAZIMA, NIFANYE NINI wanajf, madaktari, wasomi, walimu, wanasheria, najua mumejaa jf, hiki n chuo kikuu nisaidieni..wale wanaozodoa taratibu..hii ni kitu cha kweli. nishaurini
katika maisha yangu ya ulaya pia nilikuwa na vijiguo si unajua ulaya unaweza kuwa na nguo ukija Tz ukivaa mjini utaonekana kituko, kama za kike nyingine huwezi eleweka, nazo alizibeba mke wangu akaziwahisha kwa wakwe zangu, kwa tafsiri ya haraka lile lilikuwa fumanizi, kule kijijini, na naomba nieleweke sikuwa na mwanamke, labda niwe mkweli hata wakati niko mamtoni haja zangu mimi nilikuwa ni punyeto, nikisikia hamu namvuta wife nalikung'uta puli..maisha yakasonga, ili niwe mkweli zaidi nilikuwa alimasurra nimfyatulia risasi binti mmja mkenya wakati niko chuo ulaya, alikuja chumbani kwangu akaganda akajianika uchi nikauwona, nikajikaza; hapa niliogopa ngoma yaani ukimwi..alivyoondoka tu nyumbn, mimi huyo bafuni likakamata aina flani ya dawa ya ndevu kunyolea ukipaka hulainisha kidevu ili usitoke madutu kidevuni, mzee mimi nilikata tube nikaminyia mkononi nikihakikisha mlango umefungwa, wenzetu wanasema tufunge milango sabb za kiusalama, mimi nikachukua fulsa hiyo, mlango ngwe! nikajilaza nikamvuta mamaa, ila siku hiyo alikataa kuja nikamvuta mkenya kwa vile alikuwepo dkk si nyingi na utupu niliuona nikauvuta kichwani nikala mambo.
Hayo ndio maisha yangu hata hapa jijini Ar, sasa nirudi nyumbani wife kaenda kwao na nguo zangu na nyingine mwenyewe hajulikani, kama utakuwa umenielewa utahoji kwa nini pale nilipopangisha walinichomea kesi kwa wife?, ni kwamba mama mwenye nyumba ameolewa na mumewe yupo, mumewe na mimi na baadh ya wanawe tunatoka kila siku asubuhi ispokuw weekend na sikukuu, yule mama siku moja aliniambia Bwana wew kwa nini tusiongee dili? nikahoji lipi, akasema ..''yaani wewe unakaa mwenyewe mkeo hayupo ...'' ..mimi(yaani yeye) baba xy akja akiwa na hamu ananiita tu mama xy njoo huku anamaliza sasa wewe mzee!....'' sasa ile kaa yake nikaelewa somo.. na maneno yake...; nikapotezea na yeye akakubali chenga yangu..ikaisha, lakin kwa tafsr ni kuwa yy anawanae kama wa3 wengine ni wakuja, jumla wadad3 wabichi kabisa titi na beneke nilikuwa nateseka lkn nikawafanya dada zangu kabisa triki yangu hiyo nikaishi nay nawo..
walinipenda niliwapenda kama kaka na dada, so alitaka ama anipe mmja! ama yeye mwenyewe; wanawake bana, wanamambo.. ingawa siku moja nilimkamata mkono mwanae mmj alipokuja kwangu.. akasema nisuburi arejee..na hakurejea tena, yakapita, nikashukuru; Huku kwa mkwe wangu, mada ilikuwa kwamba nilifanya umalaya..na likasoviwa/solve..ila mimi tangu mwaka huo 2000 katikati MWA sijawahi kuongea na mkwe wangu na ninamkwepa..mke wangu tulielewana na anajua nimemsamehe kwa KUWA hata nguo nyingine alikiri alishawahi kuzifua, so hazikuwa za malaya. ILIKUWA NI COOKED!
kwa mkwe ni mkwe na mimi sina tatizo nae ule Ukwe ndo unanifanya hata kuonana nae machoni nimkwepe..
mke wangu amejifungua na mkwe ndo waPo wote kumuona naona kazi? je nitamuona mwanagu kwa njia gani..mahela napeka kwa sna, wife tunaongea kila muda.. MKWE LAZIMA NIONGEE NAE/KUONANA NI LAZIMA, NIFANYE NINI wanajf, madaktari, wasomi, walimu, wanasheria, najua mumejaa jf, hiki n chuo kikuu nisaidieni..wale wanaozodoa taratibu..hii ni kitu cha kweli. nishaurini