Naomba msasda; Ndoa inanimaliza

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
4,163
787
Jamani mimi niko ndani ya ndoa, ni miaka Tisa sasa na sijawahi ishi na mke wangu, tunakutana wiki mwezi ni mkubwa sana, kwa sababu ya umbali kikazi, wakati mwingine niliwaza kumwachisha kazi akili maono yangu yakakataa, nikajipa moyo kuwa siku moja atahama tuu, yuko karibuni kuhama nianze maisha ya ndoa kwa pamoja na laazizi, wasiwasi wangu najihisi kuzoea maisha kuishi pekeangu, na tafadhali usiseme/usinishauri hivyo, nitazoea, hapana nahisi nitapata tabu kuzoea na kitakachotokea nakiona ni kutafuta sababu tusepeshane, kila mtu achukue lwake, katikati ya ndoa yetu nilikuwa job, kikatokea kituko, wakati nyumban, nikawa kama kawaida yangu, napitia sehemu napata ya kulalia, narejea sikugundua kuwa wife kaja, nikaingia nikaoga nikalala, wakati nikiwa nimeshajilaza, nikahisi tofauti ndani ya chumba changu, ngo haiko kama nilivyoacha asubuh, kumbe mama mwenye nyumba alimwita kwa simu, kwa siri akamdanganya kuwa jamaa anamtu ndani, anaishi nae chukua funguo uangalie akaingia ndani wakawa wameweka nguo nisijue walizitoa wapi, hasa kwa kuwa fungo wanajua niapoiweka na wakati mwingine nawaachia kwa kuwa wao ndio walinzi wa vyumba vyangu kama vi3 mule ndani..

katika maisha yangu ya ulaya pia nilikuwa na vijiguo si unajua ulaya unaweza kuwa na nguo ukija Tz ukivaa mjini utaonekana kituko, kama za kike nyingine huwezi eleweka, nazo alizibeba mke wangu akaziwahisha kwa wakwe zangu, kwa tafsiri ya haraka lile lilikuwa fumanizi, kule kijijini, na naomba nieleweke sikuwa na mwanamke, labda niwe mkweli hata wakati niko mamtoni haja zangu mimi nilikuwa ni punyeto, nikisikia hamu namvuta wife nalikung'uta puli..maisha yakasonga, ili niwe mkweli zaidi nilikuwa alimasurra nimfyatulia risasi binti mmja mkenya wakati niko chuo ulaya, alikuja chumbani kwangu akaganda akajianika uchi nikauwona, nikajikaza; hapa niliogopa ngoma yaani ukimwi..alivyoondoka tu nyumbn, mimi huyo bafuni likakamata aina flani ya dawa ya ndevu kunyolea ukipaka hulainisha kidevu ili usitoke madutu kidevuni, mzee mimi nilikata tube nikaminyia mkononi nikihakikisha mlango umefungwa, wenzetu wanasema tufunge milango sabb za kiusalama, mimi nikachukua fulsa hiyo, mlango ngwe! nikajilaza nikamvuta mamaa, ila siku hiyo alikataa kuja nikamvuta mkenya kwa vile alikuwepo dkk si nyingi na utupu niliuona nikauvuta kichwani nikala mambo.

Hayo ndio maisha yangu hata hapa jijini Ar, sasa nirudi nyumbani wife kaenda kwao na nguo zangu na nyingine mwenyewe hajulikani, kama utakuwa umenielewa utahoji kwa nini pale nilipopangisha walinichomea kesi kwa wife?, ni kwamba mama mwenye nyumba ameolewa na mumewe yupo, mumewe na mimi na baadh ya wanawe tunatoka kila siku asubuhi ispokuw weekend na sikukuu, yule mama siku moja aliniambia Bwana wew kwa nini tusiongee dili? nikahoji lipi, akasema ..''yaani wewe unakaa mwenyewe mkeo hayupo ...'' ..mimi(yaani yeye) baba xy akja akiwa na hamu ananiita tu mama xy njoo huku anamaliza sasa wewe mzee!....'' sasa ile kaa yake nikaelewa somo.. na maneno yake...; nikapotezea na yeye akakubali chenga yangu..ikaisha, lakin kwa tafsr ni kuwa yy anawanae kama wa3 wengine ni wakuja, jumla wadad3 wabichi kabisa titi na beneke nilikuwa nateseka lkn nikawafanya dada zangu kabisa triki yangu hiyo nikaishi nay nawo..

walinipenda niliwapenda kama kaka na dada, so alitaka ama anipe mmja! ama yeye mwenyewe; wanawake bana, wanamambo.. ingawa siku moja nilimkamata mkono mwanae mmj alipokuja kwangu.. akasema nisuburi arejee..na hakurejea tena, yakapita, nikashukuru; Huku kwa mkwe wangu, mada ilikuwa kwamba nilifanya umalaya..na likasoviwa/solve..ila mimi tangu mwaka huo 2000 katikati MWA sijawahi kuongea na mkwe wangu na ninamkwepa..mke wangu tulielewana na anajua nimemsamehe kwa KUWA hata nguo nyingine alikiri alishawahi kuzifua, so hazikuwa za malaya. ILIKUWA NI COOKED!

kwa mkwe ni mkwe na mimi sina tatizo nae ule Ukwe ndo unanifanya hata kuonana nae machoni nimkwepe..
mke wangu amejifungua na mkwe ndo waPo wote kumuona naona kazi? je nitamuona mwanagu kwa njia gani..mahela napeka kwa sna, wife tunaongea kila muda.. MKWE LAZIMA NIONGEE NAE/KUONANA NI LAZIMA, NIFANYE NINI wanajf, madaktari, wasomi, walimu, wanasheria, najua mumejaa jf, hiki n chuo kikuu nisaidieni..wale wanaozodoa taratibu..hii ni kitu cha kweli. nishaurini
 
kaka hii habari umeichanganya sana kiasi kwamba msomaji anaweza asielewe' binafsi nimegundua hoja yako ya msingi ni kwamba utakwendaje ukweni kumuona mwanao mchanga ili hali paltokea matatizo ya kinidhamu yaliyopelekea wewe kushtakiwa ukwen?

hayo mengine ya kupiga punyet to hell with it. kuhusu la landlord wako huyu ni mchonganish na mweleze mkeo asiishi kwa kuskiliza wapambe kama anaitaka ndoa yake.

back to the main topic, hao ni wakwe zako heshima yao itabaki kuwa wakwe tu na wala siyo wasimamizi wa amani ama furaha yako uipatayo ndani ya ndoa bali ni washiriki tu wa iyo furaha na amani. so ukisha litambua hilo wala usipate tabu just nenda kamuone mkeo na mwanao as usual wala usiwaze yaliyopita acha kama watakuuliza and as for me no one is going to ask you anything so long as now you are happy.

Acha woga nenda kamuone kichanga mkuu. Hao hawawez kukukimbiza unless kuna hidden agenda but kama ishu ni hii wala usijiumeume rub everything in your head assume nothing has happened nenda na tena lala kabisa na mama na mkichanga. just be confident

as usual mwl @work
 
loh......

Anyway fungua akili yako ikubali kuwa mkeo anaakuja, akija take things slow in time utazoea tu....
 
Huyo mkwe mkwepe kabisaa! Manake ukikutana nae atajua mwanae kaopoa bomu, siku ukichemsha tena na kukaa na nguo za kike ndani zisizo za mkewe atalazimisha muachane under medical grounds (insanity inahusika hapa).
 
Nilifikiri ni peke yangu ambae sijaelewa hiki kisa, kumbe wengi.

Endelea na ngunga.
 
Jamani mimi niko ndani ya ndoa, ni miaka Tisa sasa na sijawahi ishi na mke wangu, tunakutana wiki mwezi ni mkubwa sana, kwa sababu ya umbali kikazi, wakati mwingine niliwaza kumwachisha kazi akili maono yangu yakakataa, nikajipa moyo kuwa siku moja atahama tuu, yuko karibuni kuhama nianze maisha ya ndoa kwa pamoja na laazizi, wasiwasi wangu najihisi kuzoea maisha kuishi pekeangu, na tafadhali usiseme/usinishauri hivyo, nitazoea, hapana nahisi nitapata tabu kuzoea na kitakachotokea nakiona ni kutafuta sababu tusepeshane, kila mtu achukue lwake, katikati ya ndoa yetu nilikuwa job, kikatokea kituko, wakati nyumban, nikawa kama kawaida yangu, napitia sehemu napata ya kulalia, narejea sikugundua kuwa wife kaja, nikaingia nikaoga nikalala, wakati nikiwa nimeshajilaza, nikahisi tofauti ndani ya chumba changu, ngo haiko kama nilivyoacha asubuh, kumbe mama mwenye nyumba alimwita kwa simu, kwa siri akamdanganya kuwa jamaa anamtu ndani, anaishi nae chukua funguo uangalie akaingia ndani wakawa wameweka nguo nisijue walizitoa wapi, hasa kwa kuwa fungo wanajua niapoiweka na wakati mwingine nawaachia kwa kuwa wao ndio walinzi wa vyumba vyangu kama vi3 mule ndani..

katika maisha yangu ya ulaya pia nilikuwa na vijiguo si unajua ulaya unaweza kuwa na nguo ukija Tz ukivaa mjini utaonekana kituko, kama za kike nyingine huwezi eleweka, nazo alizibeba mke wangu akaziwahisha kwa wakwe zangu, kwa tafsiri ya haraka lile lilikuwa fumanizi, kule kijijini, na naomba nieleweke sikuwa na mwanamke, labda niwe mkweli hata wakati niko mamtoni haja zangu mimi nilikuwa ni punyeto, nikisikia hamu namvuta wife nalikung'uta puli..maisha yakasonga, ili niwe mkweli zaidi nilikuwa alimasurra nimfyatulia risasi binti mmja mkenya wakati niko chuo ulaya, alikuja chumbani kwangu akaganda akajianika uchi nikauwona, nikajikaza; hapa niliogopa ngoma yaani ukimwi..alivyoondoka tu nyumbn, mimi huyo bafuni likakamata aina flani ya dawa ya ndevu kunyolea ukipaka hulainisha kidevu ili usitoke madutu kidevuni, mzee mimi nilikata tube nikaminyia mkononi nikihakikisha mlango umefungwa, wenzetu wanasema tufunge milango sabb za kiusalama, mimi nikachukua fulsa hiyo, mlango ngwe! nikajilaza nikamvuta mamaa, ila siku hiyo alikataa kuja nikamvuta mkenya kwa vile alikuwepo dkk si nyingi na utupu niliuona nikauvuta kichwani nikala mambo.

Hayo ndio maisha yangu hata hapa jijini Ar, sasa nirudi nyumbani wife kaenda kwao na nguo zangu na nyingine mwenyewe hajulikani, kama utakuwa umenielewa utahoji kwa nini pale nilipopangisha walinichomea kesi kwa wife?, ni kwamba mama mwenye nyumba ameolewa na mumewe yupo, mumewe na mimi na baadh ya wanawe tunatoka kila siku asubuhi ispokuw weekend na sikukuu, yule mama siku moja aliniambia Bwana wew kwa nini tusiongee dili? nikahoji lipi, akasema ..''yaani wewe unakaa mwenyewe mkeo hayupo ...'' ..mimi(yaani yeye) baba xy akja akiwa na hamu ananiita tu mama xy njoo huku anamaliza sasa wewe mzee!....'' sasa ile kaa yake nikaelewa somo.. na maneno yake...; nikapotezea na yeye akakubali chenga yangu..ikaisha, lakin kwa tafsr ni kuwa yy anawanae kama wa3 wengine ni wakuja, jumla wadad3 wabichi kabisa titi na beneke nilikuwa nateseka lkn nikawafanya dada zangu kabisa triki yangu hiyo nikaishi nay nawo..

walinipenda niliwapenda kama kaka na dada, so alitaka ama anipe mmja! ama yeye mwenyewe; wanawake bana, wanamambo.. ingawa siku moja nilimkamata mkono mwanae mmj alipokuja kwangu.. akasema nisuburi arejee..na hakurejea tena, yakapita, nikashukuru; Huku kwa mkwe wangu, mada ilikuwa kwamba nilifanya umalaya..na likasoviwa/solve..ila mimi tangu mwaka huo 2000 katikati MWA sijawahi kuongea na mkwe wangu na ninamkwepa..mke wangu tulielewana na anajua nimemsamehe kwa KUWA hata nguo nyingine alikiri alishawahi kuzifua, so hazikuwa za malaya. ILIKUWA NI COOKED!

kwa mkwe ni mkwe na mimi sina tatizo nae ule Ukwe ndo unanifanya hata kuonana nae machoni nimkwepe..
mke wangu amejifungua na mkwe ndo waPo wote kumuona naona kazi? je nitamuona mwanagu kwa njia gani..mahela napeka kwa sna, wife tunaongea kila muda.. MKWE LAZIMA NIONGEE NAE/KUONANA NI LAZIMA, NIFANYE NINI wanajf, madaktari, wasomi, walimu, wanasheria, najua mumejaa jf, hiki n chuo kikuu nisaidieni..wale wanaozodoa taratibu..hii ni kitu cha kweli. nishaurini


Kaka umechnganya mno mambo kwa pamoja! Kuku, kisamvu, grisi, kokoto, mbilimbi, matembele, baga, makande,

panadol, kiroba, andazi!!!.....



Lkn La msingi nililo daka ni kwamba huenda unapenda sana kuwa huru kuliko kuishi na mkewe ambae hajazoea kuishi

nae.

Mimi nakushauri hivi, kwanza ujue ulikososea sana kujizoesha kupiga PULI!

Kufa kupo tu ungekuwa unagongea jabulani(ndom).....

Maumbile yako hivi ni lazima mwanaume kamili ale mzigo ikiwezekana kwa wiki si chini ya mara mbili!!

Sasa, cha kufanya ni kujitahidi uishi maisha mapya kama vile hujawahi kupiga PULI! Usiukumbuke kabisa mchezo ule

amabao nina hofu uliofanya sana mpaka nondo yako yaweza kuwa na sugu!

.....sijui ndicho ulichotaka!!

La mwisho hata kama umesoma ulaya, jifunze kuwakilisha mawazo yako kwa pangilio bila kumchanganya unaempelekea

ujumbe!......andika kitu then kisome kana kwamba hujui kitu hicho ulicho kiandika je kina eleweka!?

Then endelea...!
 
Kaka umechnganya mno mambo kwa pamoja! Kuku, kisamvu, grisi, kokoto, mbilimbi, matembele, baga, makande,

panadol, kiroba, andazi!!!.....



Lkn La msingi nililo daka ni kwamba huenda unapenda sana kuwa huru kuliko kuishi na mkewe ambae hajazoea kuishi

nae.

Mimi nakushauri hivi, kwanza ujue ulikososea sana kujizoesha kupiga PULI!

Kufa kupo tu ungekuwa unagongea jabulani(ndom).....

Maumbile yako hivi ni lazima mwanaume kamili ale mzigo ikiwezekana kwa wiki si chini ya mara mbili!!

Sasa, cha kufanya ni kujitahidi uishi maisha mapya kama vile hujawahi kupiga PULI! Usiukumbuke kabisa mchezo ule

amabao nina hofu uliofanya sana mpaka nondo yako yaweza kuwa na sugu!

.....sijui ndicho ulichotaka!!

La mwisho hata kama umesoma ulaya, jifunze kuwakilisha mawazo yako kwa pangilio bila kumchanganya unaempelekea

ujumbe!......andika kitu then kisome kana kwamba hujui kitu hicho ulicho kiandika je kina eleweka!?

Then endelea...!


unajua watanzania sio wavivu lakini wengi wenu wavivu sana..wewe ndio urudie rudie unielewe! pumb$%^4' nimefaulu level zote sio shule uchwara na wala sio spooning mm. Acheni uvivu, nilikuwa nasoma maoni yenu, wote utumbo mtupu.

mfan mdogo ni kwamba mtu mvivu, mzembe anapenda sana kujifanya yeye ni smart' nimetumia structure inayopiga chenga..fumbua tatizo lilipo wewe kama problem solver, walioedit kazi yangu nakubali, ila wengine wazembe.. kila kitu kipo wazi. ingekuwa ung'eng'e
je?

uzur jf tunaedit thread, ningeona pana tatizo ningefanya hivyo..watanzania amkeni. syria na kwingineko wanachachafya serkali zao, na wanamatatizo nafuu zaidi yetu, na wenye shida kupitiliza tumelala, kazi uvivu tu,, na sio wote najua sio wote!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom