raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 314
kwa yeyote anayewafahamu mabinti wa kisukuma naomba atiririke hapa, kuna rafiki yangu amempata binti wa kisuma yupo kwenye mpango wa kutaka kutangaza ndoa, sasa anafanya research juu ya tabia zao
mwambie akaribie nyumbani,sifa zote tunazo kuanzia kushika jembe,kwa bed,kupika ugali wa ukoo mzima (strong women),heshima ndo usiseme...............................bila kusahau usafiri wetu wa ndani ni fisi.:focus:
NB: mshauri aoe mtu na sio kabila la mtu la sivyo atatafuta sanaaaaaa
Kweli Asnam wanawake wa kisukuma si wavivu tena wakarim kupita kiasi. Huwa hawalalamiki hata kama utajaza ukoo mzima hapo nyumbani kwako. Kwa kifupi wako juu sasa sijui yeye anataka ninimwambie akaribie nyumbani,sifa zote tunazo kuanzia kushika jembe,kwa bed,kupika ugali wa ukoo mzima (strong women),heshima ndo usiseme...............................bila kusahau usafiri wetu wa ndani ni fisi.:focus:
NB: mshauri aoe mtu na sio kabila la mtu la sivyo atatafuta sanaaaaaa
Wakati wa majambozi huwa wanatulia tuli ili umuwoweee!!! eti hiyo ni heshima
Kucha za vidole nitazijulia wapi wakati nilikupata kwenye chagulaga
anataka negative zao ili alinganishe mizani yake...si unajua binadamu kwa kupima kilo hatujambo.Kweli Asnam wanawake wa kisukuma si wavivu tena wakarim kupita kiasi. Huwa hawalalamiki hata kama utajaza ukoo mzima hapo nyumbani kwako. Kwa kifupi wako juu sasa sijui yeye anataka nini
hahahahaha wewe nawe haupitwi hadi huku umeshafika kupresent data.
Hiyo niliipata kwa mama mmoja wa Kisukuma...alikuwa anasimulia jinsi walivyo watulivu wakati wa mazoezi ya push ups za viuno!!!