Polepole ni inteligent na hazina nzuri akiwa kijana kwa taifa letu na alichozungumza jana ndio ukwel wenyewe msijifanye kujitoa ufahamu huyo mkimbizi wa siasa kamwe hatokuja kushinda msipoteze muda wenu na hicho chama chenu cha ukanda
Tuache wivu usio na tija mbona mliomkodi awasaidie ktk urais kupitia ukiwa alikuwa anawanunua watu km bodaboda na na masheik fek akijifanya wanamtaka agombee Urais huku wakimpa pesa za kununulia fomu ya kugombea hamlisemi hilo?
Cna muda wa kuyackiliza majizi yaliyovaa ngozi ya kondoo watafuatilia hao waliohongwa bil.10 ili kumuuzia chama mtu ambaye alikuwa anahubiriwa na viongozi hao hao wenye umoja usio na uhakika wa kutambuliwa rasmi kisheria pale mwembe simba.
Poleni ukiwa maana baadhi ya viongozi wa umoja wenu huo mmekuwa na utapia demokrasia na uroho wa madaraka, ushauri wangu kwenu jielekezeni kwenye ubunge na udiwani na hii ni kwasababu huo Urais mnaogombania hamtoshinda hata kwa bahati mbaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.